ni Kweli Jamaa Aliondoka Kwenda Kuangalia Lile Cancer La Atcl Linaloingia Muda Si Mrefu Na Pia Kuna Ambazo Wametoa Order Zinakuja 2014,,,pundamilia Analifahamu Hilo....
pia Kuna Mikwara Wa Kuotota Gurantee Kwa Hili Linalokuja Hivyo Ameenda Kuangalia Ni Kweli Au Lah.......
mwenyezi Mungu Ailaze Atcl Mahali Pema Peponi.....hiyo Ndege Ni Mdebedo Mtupu,,,mimi Niko Usa Nimepata Ma Data Yake Analiza Kama Mtanzania ,mwenye Mapenzi Mema,,,,,kama Watatoa Hiyo Gurantee Basi Huu Ni Ufisadi Mwingine Mkubwa ,,,,na Jk Atakuwa Mtuhumiwa Mkuuu....kwanini Kila Sehemu Tulie Sie Tu Njamani Watanznaia,,,,madini Wanachukua Makopo Tunaletewa...we Jakaya Angalia Vixzuri Hili......juzi Wapendwa Nimepata Dondoo Baada Ya Jamaa Kulipua Swala La Madege Mabovu Mheshimiwa Mattaka Kawahakikishia Anafanya Redenders Na Kaapa Anawatimua Wote Wliohusika,,,na Cha Kuhuzunisha Tunasikia Walikaa Na Chama Cha Wafanyakazi Akaulizwa Sababu Za Kuwapunguza ,,,akasema Watu Wengi Wakambana Ndipo Alipokuja Kwemada,.,,alipokuwa Akiingia Aliambiwa Na Waziri Chenge Hapo Kuna Majungu Na Kuna Watu Wanaojidai Kampuni Yao Wakimsumbua Awafukuzie Mbali....kamati Za Maadili Bungeni Huyu Ndie Chenge Alierudi Tena Je Ni Haki Hiii???wana Jf Tunaomba Ma Lawyer Kuwasaidia Hawa Ndugu,,na Kikao Inasemekna Akikavunjika,,,ndugu Zanguni Si Mchukue Rebate Kama Sisi Mje Uku Kula Kuku,,,muachane Na Hayo Matatizo