S socercity Member Joined Feb 11, 2015 Posts 59 Reaction score 18 Sep 11, 2015 #1 Eti wanajamii hivi kikwete alivyoo ingia madarakani dola ulikuwa inauzwa shilingi ngapi?na sasa anaondoka anaicha inauzwa shilingi?halafu tunaambiwa uchumi unakuwa,sasa sijui unakuwa kwa njia zipi?wakati mpaka tooth stick tunanua toka china
Eti wanajamii hivi kikwete alivyoo ingia madarakani dola ulikuwa inauzwa shilingi ngapi?na sasa anaondoka anaicha inauzwa shilingi?halafu tunaambiwa uchumi unakuwa,sasa sijui unakuwa kwa njia zipi?wakati mpaka tooth stick tunanua toka china
Mkali_01 Senior Member Joined May 13, 2015 Posts 166 Reaction score 116 Sep 11, 2015 #2 Mwaka 2006 dollar ilkua 1,130
LWITIKO LWITIKO JF-Expert Member Joined Jan 27, 2013 Posts 209 Reaction score 118 Sep 11, 2015 #3 Kwa mujibu wake anasema tutamkumbuka sana kwa hilo
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,508 Reaction score 11,897 Sep 11, 2015 #4 Ilikua sh1130, mwaka 1983 dola 1 ilikua sh12