Kikwete alipitia dirishani, sasa kaamua kulifunga?


=========SongoroHivi ukikuta hii makala imeandikwa na Salva kwa ridhaa ya JK utasema nini?
 
Tunawahitaji watu wanaoweza kuuandika ukweli bila kuumauma maneno kama huyu. Waandishi wengi wako kibiashara sana hasa tunapoelekea uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…