Alyehusika ktk Hilo Ni mbuge HV Sasa ranadhani igondo wa ilongero amechukuwa nafsi ya nyalanduHivyi yule Ulimboka aling'olewa meno,kucha,kwenye utawala gani?
Hivyi Mwakyembe alinyonyoka nywele enzi zipi?
Vipi Mwangosi ilikuwa utawala wa Jiwe?
Marehemu Dr. Mvungi, Mtikila, Mwangosi, Mabomu ya Olasiti ilikuwa kipindi cha nani?Hivyi yule Ulimboka aling'olewa meno,kucha,kwenye utawala gani?
Hivyi Mwakyembe alinyonyoka nywele enzi zipi?
Vipi Mwangosi ilikuwa utawala wa Jiwe?
Hujui!Swali gumu kwa Kikwete: FEDHA ZA ESCROW NI MALI YA SERIKALI AU SINGASINGA NA RUGEMALILA? hatoweza kujibu hadi anaingia kaburini.
Kuna jamaa walikuwa hawampendi Jiwe,utasikia enzi za JPM🙀Marehemu Dr. Mvungi, Mtikila, Mwangosi, Mabomu ya Olasiti ilikuwa kipindi cha nani?
Yure Ramso! Je alijituma?Alyehusika ktk Hilo Ni mbuge HV Sasa ranadhani igondo wa ilongero amechukuwa nafsi ya nyalandu
😂😂😂Kuna siku waandishi wa habari walimbana kwamba wananchi wanasema wewe Mzee wewe unasafiri safiri saana.. akachekaaaa akawaambia hivi nyie mshafuga mbwa? kawaida ya mbwa hutembea huko na huko walau akipata fupa apelete wakagawane na waanae ili siku ipite.
akawauliza tena swali lingine....kama hamna basi niacheni nikapumzike safari ilikuwa ndefu saana.
Huyo ndiye JK Mzee wa stress free.
Shida upinzani wakiwa favor wanaota pembe na hata ukiwa kiongozi mzuri watakuchafua tu. Hata mama alitaka kuwapa nafasi wakaanza vitisho na kutishia maandamano nchi nzimaHapa Wamejazana wale Waliokuwa Wanaomsifia Mama Kwamba Kaanza Kwa 'Kuupiga Mwingi' Lakini Mama Hakuishia Kuupiga Kwa Kina Sabaya Akawageukia Upande Wa Pili.... ! Sasa Sifa anarudishiwa JK..! JK huyu huyu ambaye Kipindi chake Kina Mnyika Walimuimba kuwa Raisi Dhaifu haijapata kutokea TZ.
MNACHOSHA...!
Marehemu Dr. Mvungi, Mtikila, Mwangosi, Mabomu ya Olasiti ilikuwa kipindi cha nani?
Mkuu hata Angela Merkel anaimbiwa udhaifu..Hapa Wamejazana wale Waliokuwa Wanaomsifia Mama Kwamba Kaanza Kwa 'Kuupiga Mwingi' Lakini Mama Hakuishia Kuupiga Kwa Kina Sabaya Akawageukia Upande Wa Pili.... ! Sasa Sifa anarudishiwa JK..! JK huyu huyu ambaye Kipindi chake Kina Mnyika Walimuimba kuwa Raisi Dhaifu haijapata kutokea TZ.
MNACHOSHA...!
Shida upinzani wakiwa favor wanaota pembe na hata ukiwa kiongozi mzuri watakuchafua tu. Hata mama alitaka kuwapa nafasi wakaanza vitisho na kutishia maandamano nchi nzima
Jinga kabisa sasa akifungwa we ndio utageuka mwanaume?utaendelea kuwa mwanamke tu kmmkAngekua hajiamini na kilaza kwa hizi kelele zenu za week nzima angeshaamrisha Abubakar aachiwe, kapiga zake kimya anaendelea na mishe zake za kuwatumikia waTZ, nyie tukaneni hadi mchoke, Abubakar sasa yupo Segerea na anaweza kula 30yrs or maisha kabisa. Endeleeni na matusi yenu, hayana impact yeyote kwake na kwa wananchi
Hata enzi ya mkwere kuna kidume kiling'olewa meno, kucha na kuumizwa sehemu za siri na kuna mwanahabar alitobolewa jicho getin kwake wakat anasubir kufunguliwa aingie ndaniJK Kiongozi anyejiamini
Waliomfuata baada yake wako very insecure
Mmoja akaamuru Lissu amiminiwe risasi auawe
Mwingine kampa Mbowe kesi ya Ugaidi
Yaani wanatumia miguvu miiingi badala ya kujibu hoja kwa hoja
Ili uishe maisha marefu acha kuweka mambo moyoni nakulipa visasiJk ni wakipekee.
Mzee Mwinyi tajiri wa Roho na nafsi.
Huwa najiuliza Mzee ruksa na miaka 96 sijawahi muona akitumia miwani. Juzi hapa walimpeleka kuangalia makorongo ya mradi wa maji rufiji.
Mabomu ya olasiti mtuhumiwa anamfanyia masaji nyapara mida hii inasubiriwa mahakama ithibitishe lkn yote hayo kipind cha mkwereMarehemu Dr. Mvungi, Mtikila, Mwangosi, Mabomu ya Olasiti ilikuwa kipindi cha nani?
Na wew kwanini unauliza kwann,hujaelewa nn hapoKwa nini