Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Ni halali katika zama zake, hakukuwa na sheria iliyokataza hilo.



ni wazi hujalisoma Azimio la Arusha, hakuna mahali ambapo azimio lilikataza hilo.


`


Azimio la arusha lilikataza kuchanganya biashara na utumishi wa umma. Mtu mwenye pesa ilikuwa ni number one disqualification.
 

Mkuu umenena vema, na pia ikumbukwe kuwa Mwinyi hakumpa kazi JK moja kwa moja, alimwambia aende kwanza kwa Mwalimu akamuombe msamaha kwa kuanzisha fagio la chuma amabalo pamoja na mambo mengine lilikuwa na lengo la kumuondoa mzee Kawawa kwenye chama eti ni mmoja kati ya viongozo mzigo. JK alienda kwa Mwalimu kumuomba msamaha, mwalimu alimsamehe lakini baada ya kumtukana sana sana!! kwamba" wewe ninani hata usema kawawa hafai!? kijana mnafiki sana wewe habari zako zote ninazo. nani wewe ! Mwalimu alifoka mno nasikia ..........lakini Mwinyi alimtahadharisha mapema kwama akikufokea wewe kakae kimya tu...na kuendelea kuomba msamaha....
Kweli Mwalimu alimsamehe JK akapata kazi......lakini nadhani wenyewe mnaona tabia yake ilivyo.....
 
Sio hayo tu kafanya mengi sana hata kupora mademu wa rafiki zake enzi hizo kwa mzee mmoja maaeneo ya meada pub sinza..
 
Duh, kweli alikiona.Angeweza hiyo barua ingechapwa tena ingekuwa ishu kweli.
 
Ngoja nikamtishie Mkwere kidogo ikulu, najua ni muoga atakimbia kama alivyo awahi kwao Msoga kwa mguu na kumuachia kiti cha uraisi anayestahili, Dk Slaa.
 
mkwere fitna si utani!!! kosa kubwa ni kwamba watanzania tumekuwa hatutumii historia kujifunza...kumwingiza jk ikulu for two consecutive terms ni maafa!
 
Hivi kwa nini JK hakushitakiwa kwa kosa la AWOL (Absent without Official Leave) kwa mujibu wa juzuu za JWTZ?

Juzuu za jwtz hazina kipengele cha kufungua mashtaka kwa kosa la AWOL huwezi kumshtaki mtu ambaye hujui yupo wapi. Je kama amekufa mahali mkahesabiana na kukuta hayupo? Kinachofanyika ni kwamba mtu asipoonekana kambini kwa muda wa miezi 3 baada ya juhudi zote za kumtafuta ikiwemo kuwasiliana na mrithi wake kushindikana, inaundwa bodi ya inquiry na inahitimisha AWOL na kumfuta kwenye nguvu ya kikosi na jeshi. Tena kuacha au kutoroka jeshi sio gross misconduct kama alivyosema mtu mmoja ni kama vile kupoteza askari au ofisa vitani tu. Kinachoangaliwa ni kwamba anafanya nini baada ya kuacha jeshi asije akaingia kwenye vikundi vya uasi tu!

So kwa hili inawezekana kbs ukaondoka kwa AWOL na ukafanya kazi nyingine au ukaapply kazi nyingine kama utaweza kupita kwenye vetting system inayohusika. Kama system haiangalii background au iko corrupted atapata tu nafasi yoyote
 
Kighoma Malima alikufa kwa mshituko baada ya kuwapa misamaha ya kodi wahindi lukuki wakimuahidi kuwa fedha wamemuwekea ulaya , kwenda kucheki account ya VIJISENTI vyake akakuta hakuna kitu; basi mzaramo alikuwa amefuatana na mwali wake ikabidi AFE!!
Mkuu una ushaidi na hilo?let the man rest in peace Dude......Uwezi kupata umaarufu kwa kutoa a cheap crap like this.....Think Big Buddy!
 
Ni kweli niliwahi kuadithiwa na General Mmoja Mstaafu kwa sasa ,wakati wa kampeni za "urahisi"mwaka 2005
 
alikuwa luteni kanali alipotoka monduli na hakupanda tena mpaka leo ni luteni kanali...cheo above next kwa meja

kikwete ameondoka monduli akiwa major....na hata alipoteuliwa ubunge wa taifa na uwaziri mara ya kwanza alikuwa ni major.....huo u lt col. Alipata mwaka 90/91 ..kabla tu ya mfumo wa vyama vingi kuanza....mwaka 92..alipostaafu rasmi jeshini
 
ahaha!sikujua kwakweli..u just made my day
 

Aisee!
Kama hizi habari ni za kweli basi JF ni kiboko! Nimebaki mdomo wazi jinsi watu walivyo na details
 
je wakati huo wamasai walikuwa wakiishi wapi?mbona hawakuliwa wakaisha?umakini wako uko wapi?ukweli JK ni mwongo na mnafiki ndio maana anadai haijui Dowans mbele ya umma, nyuma ya pazia anaruhusu ilipwe mabilioni
 
Inamaana alitoka Jeshini?na ni kwa nini Julius ambae alikua Amiri Jeshi Mkuu ampekazi nyuingine?tunaomba maelezo ilikuaje akapewa kazi nyingine?
 
ahsante kwa umbea wako ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kumchafua JK.
 
Mimi nadhani kwa hali ya wakati ule si ajabu alikuwa sahihi.Sometimes maisha yanahitaji kujipendekeza ili utoke ukikalia ukimya ndo hayo mwenzio rais sasa.Nyerere mwenyewe hiyo ndo ilikuwa sera yake kwani unadhani utaifishaji ulifanywa kwa msingi gani? Angalia viongozi matajiri wanavyotunyasanyasa sasa hivi ukisema una njaa wanakushangaa
 
So mkwere licha ya kuhudhuria mafunzo ya kijeshi monduli hakuwahi kumaliza na kuwa-commissioned Officer?? Huenda ndio maana amekuwa legelege haiwezekani eti Kanali wa jeshi akawa kama mkwere hata sauti tu haionyeshi kama alikuwa mwanajeshi......Kweli Tanzania tumekula hasara sio mchezo.
 
Hv ni kweli/? ndio maana ht uraisi alisema,bado!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…