Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko


Inawezekana kweli uandishi wako una mapungufu, Usa River na Monduli ziko mbali sana, ... au ulitaka kumaanisha Mto wa Mbu?
 
Nyani haoni ********hebu pia tujikumbushe wakati slaa alipoondoka kanisani na kuukucha upadre wa kanisa katoliki,unajua sababu? ilikuwa kama hivi,kwanza alianza kwa kumuweka kimada rose kasili mtoto wa kimbulu hali ya kuwa sheria za kikanisa ambapo ana PHD yake zinakataza padre padre kuwa na mke.

Sababu ya pili aliiba pesa za chama cha vipofu Tanzania zaidi ya shilingi milioni mia saba zilizotolewa na shirika la world vision tanzania kwa ajili ya kuwasaidia vipofu nchini jamaa akaiba pesa na mwenzake ambaye yeye alirudi kaniisani akaomba radhi akasamehewa na slaa akakimbilia CCM kuomba kugombea ubunge, lakini kumbe CCM chini ya mzee mwinyi walishamstukia huyu jamaa ni jambazi na anakuja ndani ya chama kutaka kuchakachua wakamnyima nafasi.

Kilichojiri baada ya pale akakimbilia chadema ambacho hakikuwa na network kama ilivyo hivi sasa na akapewa nafasi ya kuwakilisha,mungu si athmani akashinda! toka ameingia bungeni mwaka 1995 - 2006 hakuwa akisikika kama yupo pale,baada ya kashfa zake za kijangili kuibuliwa kanisani na wanaccm naye akaona aanze kujifanya ana uchungu na taifa hili wakati hana mbele wala nyuma, eeeeeee Mungu Mwenyezi wa mbingu na nhi,tuepushe na fitna hii inayoitwa slaa.

Kama aliweza kukusaliti wewe kanisani na mbele zako vipi asiweze kutusaliti sisi wadanganyika tena mbele zako? ni nani asojua sababu za chadema kutomrushia madongo rostam pale Igunga? ni kwa sababu kuna ukweli zile pesa za kifisadi mlizozikosa za kagoda sasa zinaisaidia chadema kwenye uchaguzi kwani kuna bif baina ya rostam na akina nape! habari ndo hiyo
 
Umemaliza? haya nenda kalale maana naona viroba vya leo vimekuzidi uwezo.
 
Inawezekana kweli uandishi wako una mapungufu, Usa River na Monduli ziko mbali sana, ... au ulitaka kumaanisha Mto wa Mbu?

Uliko taja ni mbali zaidi labda Ngarenaro ya chini ambayo ipo karibu sana na ARUSHA AIRPORT.
 

Kwa taarifa tu ni kwamba Sayore ulikuwa anatumia rasilimali za jeshi kufanikisha kilimo hicho.
 
Huyu JK sijui nani atampa adhabu kwa kosa alilowatenda watanzania kwa kutoa maoni yake binafsi kwenye bunge la katiba badala ya kuyatoa kwa wakati kwenye tume ya Warioba akidanganya anakwenda kuzindua bunge maalum la katiba!

JK mnafki hana mfano!
 
Jk anapaswa kujibu khoja au mtoto wake amsaidie. Kimya maana yake ni kuafiki.
 
Jk anapaswa kujibu khoja au mtoto wake amsaidie. Kimya maana yake ni kuafiki.

Bila shaka ni ukweli kwani isingekuwa kweli Kurugenzi ya Habari ya ikulu wangeshakanusha tangu 2011 habari hii ilipotoka!!
 
Mambo Yalikuwa Mazito Sana Yaani Duh Chupuchupu
 

Mkuu,

Mheshimiwa Rais wa awake ya tano amewataka wampelekee malalamiko yao alipomuweka na askari magereza.

Kaka ...
 
Kwa Tanzania ya sasa..Hakuna mwanasiasa anayemfikia JK kwa siasa


Huwezi kuongoza taasisi ya umma na baadaye kufanya biashara na taasisi hiyo. Hapo Sayore alikiuka ethics za uongozi na vilevile misingi ya Ujamaa. Hivyo Kikwete alikuwa sahihi kabisa.
 
Ulikuwa Monduli wakati JK anaandika barua.
Ulikuwepo Dar wakati Nyerere anapokea barua na kuisoma.
Ulikuwepo Ikulu wakati Nyerere anampa barua Mkuu wa Majeshi
Ulikuwepo Ngome -wakati mkuu wa majeshi anampa barua Sayore
Ulikuwepo Monduli Sayore alipoitisha kikao
Ukamwona JK akitembea porini mpak USA river
Ukamwona akipata lift kwenye gari ya ushirika
Ulikuwepo alipofika Dar.....
 
H
Kali hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…