Elections 2015 Kikwete ampongeza rais mteule John Pombe Joseph Magufuli Ikulu Dar es Salaam

Kansigo

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
2,670
Reaction score
2,156


Picha na IKULU

 

Attachments

  • j1.jpg
    24.3 KB · Views: 1,638
  • j5.jpg
    23.8 KB · Views: 1,658
  • j3.jpg
    20 KB · Views: 1,614
Kwa Mara ya kwanza tunaweza kuwa na first lady wa the the the the the.

Natumaini uliona interview za Jk alipokwenda marekani. sasa unataka kusema mama salma anakimanya kuliko JK? The BTW mi napenda wawe wanaongea kiswahili tu na wakalimani wafanye kazi yao, ndio ajira hiyo kwa Watanzania wanaoweza kuongea kimombo kama maji ya kunywa.
 
Eddo aliposikia Znz wamefuta Uchaguzi kwa kuwa Seif Sharif kajitangaza mshindi kwa 53% akina Tundu lissu nao wakamshauri nae ajitangaze kuwa kapata 62% ili NEC ifute uchaguzi hahahah!!
 
Kikwete namfananisha na Mbwa Koko wa Tanzania! Huku NEC nikiifananisha na mbwa mwitu wa Tanzania. Hali kadharika Mkapa namfananisha na Mbweha wa Tanzania.

No...No....asilan abadan usimfananishe binadamu na mnyama.Allah amemuumba binadamu na akamsifia sana.Hisia na hasira zako kuhusu uchaguzi ni sawa na za wengi tu...fanya subira na mlaani shetani.omba msamaha na fanya toba
 
Kikwete namfananisha na Mbwa Koko wa Tanzania! Huku NEC nikiifananisha na mbwa mwitu wa Tanzania. Hali kadharika Mkapa namfananisha na Mbweha wa Tanzania.

angalia usijekutafutwa..maana hao wote unaowatukana hapo wanayo mamlaka ya kukufukua popote ulipo.
 
Furaha FEKI... NYUSO FEKI...!!!

GESTURES feki, Is clearly seen, someone will be controlled remotely from Msoga..!!! So sad...!!!

Ni huzuni tupu...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…