JK ana mvutoo kwenyee jamii ya kitanzaniaa....
Mchonga alishawaambia wabongo msimuangalie mtu anavyocheka, kama mnampenda mtu kwa sababu ya anavyocheka mualikeni mkanywe naye chai, sio kumpa urais, wabongo wagumu kuelewa somo.
Halafu wengi wetu tuko overly passive, tunaona kama hatuna control na situation, na mtu kama Kikwete akishapitishwa na CCM mwananchi wa kawaida kumpinga anaona ni kama kujitafutia ugonjwa wa moyo tu, after all Marijani Rajab, jabali wetu wa muziki, alishatuambia "Kula ugali wako ukalale" katika "Sikia Mambo" kwa hiyo hata wale wachache wenye mwanga kidogo wanaanza ku justify, wanatafuta kitu kimoja hapa na pale na kusema "lakini amefanya hiki na kile" huku overall trend ya nchi ni mbaya ajabu.
Wewe nchi illiteracy rate inafukuza 30% saa hizi (tulikuwa na literacy rates in the 90% under Nyerere, one of the leading African countries, mpaka vibabu na vibibi vilipelekwa elimu ya watu wazima).Nchi haina civil society ya kusema, kila mtu anaganga njaa, hamna press ya kusema, hamna trade unions za kusema hiyo opposition ndiyo kabisaa usinivunje mbavu.
Unategemea ni kwa nini JK asiwe popular? JK hata akijikojolea kwenye podium wakati anatoa speech, anaendelea na kuchukua urais vizuri tu.