Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
Did kikwete protect mwakyembe enough pale alipojilipua? au amemtelekeza, mshikaji ndo anadondoka hadi bungeni kwa mawazo, mafisadi wanamtafuta, na raisi amemtelekeza. kama angejua haya, mwakyembe angejilipua kule bungeni?
What do you mean?Did kikwete protect mwakyembe enough pale alipojilipua? au amemtelekeza, mshikaji ndo anadondoka hadi bungeni kwa mawazo, mafisadi wanamtafuta, na raisi amemtelekeza. kama angejua haya, mwakyembe angejilipua kule bungeni?
Did kikwete protect mwakyembe enough pale alipojilipua? au amemtelekeza, mshikaji ndo anadondoka hadi bungeni kwa mawazo, mafisadi wanamtafuta, na raisi amemtelekeza. kama angejua haya, mwakyembe angejilipua kule bungeni?
Did kikwete protect mwakyembe enough pale alipojilipua? au amemtelekeza, mshikaji ndo anadondoka hadi bungeni kwa mawazo, mafisadi wanamtafuta, na raisi amemtelekeza. kama angejua haya, mwakyembe angejilipua kule bungeni?
Did kikwete protect mwakyembe enough pale alipojilipua? au amemtelekeza, mshikaji ndo anadondoka hadi bungeni kwa mawazo, mafisadi wanamtafuta, na raisi amemtelekeza. kama angejua haya, mwakyembe angejilipua kule bungeni?
Kadondoka lini Mwakyembe???
Roya Roya; not not just worried. Ukiona mtu mzima analia, ujue kuna kitu kimemliza.
Roya Roya; not not just worried. Ukiona mtu mzima analia, ujue kuna kitu kimemliza.
ningeweza kusema lakini nikae kimya lakini I'm so worried about Mwakyembe.
Kesho rais atakuwa jimboni kwake, ni kweli mafisadi are attacking him form every corner of this earth, sasa hata watoto wake wanahitaji ulinzi kusafiri kutoka shuleni kurudi nyumbani,
Tunasema kwamba msimamo wa kiongozi siku zote hupimwa na kwa njia mbali mbali, lakini kiongozi shujaa kama Mwakyembe hufanya kama anavyofanya sasa, yaani husimama imara ingawa majaribio ni makubwa na magumu sana,
Tunamuombea yeye na wengine wote walioamua kumshika simba sharubu, Mungu awape uzima na maisha marefu kuliko ya mafisadi, na tunamuhaikishia Mwakyembe kwamba hauko peke yako, wananchi wengi tuko nyuma yenu.
Jumapili nilimbeba fisadi namba moja toka airport mpaka anakokwenda, amechoka kama mbwa, hakuweza kuniangalia usoni anaongea huku anakimbiza uso, ninasema siku zao zinafikia ukingoni, ninaamini kuwa kuna siku atalala hataamka maana amechoka sana, Shujaa Mwakyembe na Kubenea hakuna wasi wasi, maana baadhi ya sisi walalahoi wa got your back, atakayewagusa anatugusa na sisi, na bahati nzuri sana sisi walalahoi wengine hatuna anything to loose au to gain, kwa hiyo protecting you could be fun as well!
Angalieni mbele tu!
Mungu Aibariki Tanzania.
Wewe dereva? fisadi gani? hana gari tena namba moja? acha stori za vijiwe!
Huyo Kikwete yuko wapi siku zote hizi kuwachukulia hatua, watakoma nini tena , nani aliyepelekwa jela?. Haii hafai kuandikwa na mtu kama wewe au ndiyo walewale akina Kubenea watoto wa JK, what about JF?
This is idiotic post
Stori za vijiwe ndio zimekukasirisha hivi? Acha wivu ndugu yangu ridhika na Mungu aliyokupa na alivyo kuumba, wewe ni wewe na mimi ni mimi. Naona hukuelewa nilichosema ni kwamba nilimbeba fisadi namba moja sio gari namba moja, samahani kwa kukuchanganya.
halafu samahani sana ndugu yangu kwa kukukwaza, bwa! ha! ha! ha! ha' anyways, on a serious note samahani sana ndugu yangu kwa kukukwaza.