Kikwete awaalika wanamuziki wa kundi la Diamond na viongozi wao

Wengi hatumfahamu vizuri JK, ila JK ni miongoni mwa viongozi wachache wanaoweza kujibadilisha vyovyote wanavyoweza kulingana na mazingira, wakati na nafasi.
 
Kapungua, labda sababu no stress.
 
huyu mheshimiwa alikua na bado ana heba. Mungu amjaalie
 
Na huyo wa kati... nimheshimiwa nani? ila wote wamepungua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…