Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wakati ni ukutahuwezi kupingana na umri mkuu
Sana.af mbn km kapungua?
Yeye ni mkubwa zaidi ya Mkapa,Mwinyi,Salim,Msuya,Butiku na Warioba?tatizo ni lifestyle..huwezi kupingana na umri mkuu
Au mazingira ya msoga hayajampendaYeye ni mkubwa zaidi ya Mkapa,Mwinyi,Salim,Msuya,Butiku na Warioba?tatizo ni lifestyle..
View attachment 400881
Uzee unapiga hodi!!
Kwani tangu astaafu anaishi Msoga au anaendaga kutembea tuu?Au mazingira ya msoga hayajampenda
Kapungua, labda sababu no stress.
Mbona umecheka Lusajo?
Futibola huyo.Huyo dogo wa kati ni nani?..
Futibola huyo.
Yani watu wanapokuwa hawana stress ndo wanakonda!! Wa wapi hao?