Mie ndo ninavyoelewa Lusajo, mtu kama hana stress anajiangalia vizuri zaidi.
Basi mimi nina tatizo maana mwaka huu stress hazikuwa nyingi sana nimeongeza karibu kilo 11
Ame-loose kinyama! Hivi katiba hairuhusu ateuliwe kuwa mbunge kisha apewe uwaziri wa foreign affairs?
View attachment 400881
Uzee unapiga hodi!!