Elections 2010 Kikwete azomewa Bukombe!

nasikia na mnajimu wake amemtabiria kifo kama ataiba kura .raaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha.
 

nikuongezee baraza lote la mawaziri,wenyeviti wa ccm mikoa yote na vibaraka wao ndipo kidogooo tutawaelewa
 
MWANDISHI WA THREAD HII NI MUONGO MKUBWA...........KIKWETE HAWEZI KUZOMEWA POPOTE TANZANIA KWA SABABU AMETEKELEZA ILANI YA CCM NA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA KWA ZAIDI YA 95%...........TUWAPUUZE WANAOMZOMEA LABDA WANACHUKI BINAFSI TU KWA KUWA KAWAZIDI U-Handsome, NA WALIOWENGI WANAOMUONEA WIVU NI WANAUME KWANI WANAONA ANAFAIDI SAAANA ANAPORUKA KILA WIKI KWENDA NG'AMBO NA MSAFARA WA MARAFIKI ZAKE KWA GHARAMA KUBWA ZA SERIKALI............ACHENI KUZOMEA KWANI RAIS WETU ALITAFUTA SANA KUINGIA IKULU JAPO ALIONYWA.........KWA HIYO WANAOZOMEA NI WALE AMBAO HAWAJAFIKA KULE VIJIJINI KUJIONEA MASHULE ,MAZAHANATI,MABARABARA, VIWANDA VIMEJENGWA NA AJIRA ZAIDI YA 1,000,000 KULE VIJIJIVI HAJAONA KWA SABABU HAWAJAFIKA..............JAMANI TAFAKARINI KABLA YA KUMZOMEA RAISI WENU NENDENI KWANZA VIJIJINI MKAFANYE TATHMINI KULIKUWAJE MIAKA 20 ILIYOPITA NA SASA KUKOJE NDIPO MZOMEE
TUMEELEWANA?
 
Hivi kuna nini, mbona vyombo vya habari ni kimya JK kuzomea jana usiku kule Bukombe?
 
Waandishi katika msafara tu, wamechakachuliwa....!!!!
 
Hivi kuna nini, mbona vyombo vya habari ni kimya JK kuzomea jana usiku kule Bukombe?

Fungua hiki kideo ujione mtu mzima alivyoporomoka jukwani pale jangwani. Hata hii hawataki kuirudia rudia ili tujikumbushe mambo mazito ya kitaifa


JF si ni Chombo cha Habari.
 
Waandishi katika msafara tu, wamechakachuliwa....!!!!
Kuna vitu watu naona hamko well informed:

CCM kwa sasa wanashtukiza ratiba ili kuwakwepa waandishi wa magazeti ya Mwananchi, Raia Mwema etc.

Waandishi walioambatana na msafara wa JK wanaandikiwa nini cha ku-report, hata Monduli hawakuambiwa wakashtukia wanapewa report na Muhingo.

Mambo mengi hayaendi kama ilivyotarajiwa, waandishi wa Mwananchi hawataona watu wanaohudhuria mikutano ya JK wakisombwa na magari na kupewa T-shirts etc wakakaa kimya, hilo halitavumiliwa aidha.

Mimi naona CCM ni chama kikongwe, kingejitahidi kuwa wazi sana hasa wakati huu, wangeacha hata hao wapinzani wakaingia (endapo watashinda) ili wawadhihirishie watanzania kwamba hakuna chama kama CCM kweli, vinginevyo something is very wrong somewhere.

Ni maoni yangu, si ya JF!
 
Saa ya ukombozi wa wazalendo wa Tanzania inazidi kukaribia
 
Hahahahah sisi wengine hatuwezi tofautisha Invisible na JF! Haya mkuu, hujanipa email ya yule Jamaa nlokuomba!
 
:becky::becky::becky::becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…