johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete amesema Watu Wengi hufikiri Demokrasia ni Uchaguzi kumbe siyo bali Demokrasia ni zaidi ya Uchaguzi kwani ina mambo mengine mengi
Mzee Kikwete amesema kukiwa na uwazi Kwenye Uandikishaji Wapiga Kura, kupanga Vituo vya kupigia kura na uwazi Kwenye kuhesabu kura basi amani inakuwepo
Kwa ujumla michakato ya Uchaguzi inapokuwa wazi na Watu hawajazuiwa kutumia haki yao ya Kidemokrasia ya kuchagua na Kuchaguliwa na Uchaguzi wao ukaheshimiwa hapo ndipo amani inakuwepo, amesisitiza mh Kikwete
Mzee Kikwete ametoa nasaha hizi Kwenye Chuo Kikuu Cha Ulinzi na Usalama Nchini Nigeria
Source Mwananchi
My take; Uchaguzi wa Chadema Kanda ya Nyasa haukuwa Wazi na amani imetoweka hadi Leo 😀
Mzee Kikwete amesema kukiwa na uwazi Kwenye Uandikishaji Wapiga Kura, kupanga Vituo vya kupigia kura na uwazi Kwenye kuhesabu kura basi amani inakuwepo
Kwa ujumla michakato ya Uchaguzi inapokuwa wazi na Watu hawajazuiwa kutumia haki yao ya Kidemokrasia ya kuchagua na Kuchaguliwa na Uchaguzi wao ukaheshimiwa hapo ndipo amani inakuwepo, amesisitiza mh Kikwete
Mzee Kikwete ametoa nasaha hizi Kwenye Chuo Kikuu Cha Ulinzi na Usalama Nchini Nigeria
Source Mwananchi
My take; Uchaguzi wa Chadema Kanda ya Nyasa haukuwa Wazi na amani imetoweka hadi Leo 😀