Wanaita Honoraria something like that. Ambayo waheshimiwa hupata hata akienda kwenye kikao akaongea pumba na kuondoka who cares!!
Mkuu mwanakijiji, hii inayojishughulisha na Mkulu siijui,ila kuna ile ya Mdada Fina Mango,ili ufanye hafla/presentation kwa wabunge lazima upitiye kwake,anabaraka zote za spika na wabunge wetu wanalijua hilo!!
- Hebu tu-assume kwamba ni kweli wanalipwa au kupewa fees, sheria yetu ya jamhuri inasema nini on the ishu?
William.
Swali zuri sana hili, lakini sidhani sheria yetu inasema lolote kuhusu hili kuna uwezekano mkubwa iko kimya.
mtu na akili yako kweli unamwalika kikwete aje aongee...?
Jamani, katika pita pita yangu kuna ka nzi kametua mahali fulani bongo na kuniuliza kama kwa kunidokeza kuwa inakuwaje kuna agency moja nchini ambayo inakusanya hizo appearance fees. Kwamba akienda kufungua au kuzungumza kwenye hafla fulani fulani (kama moja inayoandaliwa sasa) basi kuna tucharge fulani ambato huwa tunalipwa kupitia wakala huyo.
Sasa, katika kuchokoza ndiyo naomba niwaulize wakubwa mnaojua, hizi fee ni kiasi gani, hiyo agency ni ipi (maana nimeambiwa nikiuliza nitadokezwa tu) na kama utaratibu huo ni sawa na kulipia Urais wake kila anapotokea kwenye hafla binafsi? Je haya ya fee yasibakie kwa watu ambao wameshatoka madarakani kama kina Mwinyi, Sumaye, au Mkapa?
Je yawezekana kautaratibu haka kako kwenye nafasi nyingine vile vile?
mkiambia standards za JF zimeshuka manaanza kulalama
kwanza nilitegemea mngeanza kumkoma nyani GILADI kwa kuleta jina la hiyo PR FIRM na iko owned na akina nani na kazi gazi imeshafanya na kiasi gani inatoza
then mtaanza kuuuliza maswali mengine
Hivi mnakumbuka enzi zile JF ilikuwa maarufu kwa kuwa na data na docs?
Imagine hii listi ya matumizi ya wabunge leo SLAA anayo sisi hatuna...i dont know where we kept out eye off the ball
Tazama issue ya DECI hivi mpaka leo the so called wachambuzi wetu wameshindwa kuleta majina ya ma Stake holders wa DECI sasa matokeo yake tunaongea kama wale jamaa waonao jibizana kwenye print media yetu ambayo at most imejaa majungu na copy and paste journalists
mkiambia standards za JF zimeshuka manaanza kulalama
kwanza nilitegemea mngeanza kumkoma nyani GILADI kwa kuleta jina la hiyo PR FIRM na iko owned na akina nani na kazi gazi imeshafanya na kiasi gani inatoza
then mtaanza kuuuliza maswali mengine
Hivi mnakumbuka enzi zile JF ilikuwa maarufu kwa kuwa na data na docs?
Imagine hii listi ya matumizi ya wabunge leo SLAA anayo sisi hatuna...i dont know where we kept out eye off the ball
Tazama issue ya DECI hivi mpaka leo the so called wachambuzi wetu wameshindwa kuleta majina ya ma Stake holders wa DECI sasa matokeo yake tunaongea kama wale jamaa waonao jibizana kwenye print media yetu ambayo at most imejaa majungu na copy and paste journalists
Anza na mtoa mada, inabidi uchambuzi makini ufanyike, sidhani na siamini kama kitu hiki kipo especially kwa Rais anapokuwa anafanya kazi za humu ndani. kama ni appearance ya wabunge na viongozi wengine kwa shughuli ambazo sio za jamii say za biashara kwanini tusiwalipe? appearance yao kwetu ni biashara so WHY NOT PAYING THEM, I REPEAT SIPENDI KUAMINI KUWA WANALIPWA KWENYE SHUGHULI ZA KIJAMII ZAIDI.
Hiyo PR ya Mango Fina ni si ni ya kibiashara????
Kwa Bongo inawezekana kwani hata akina naniii ukiwaita waje kwenye hafla yako waweze kuripoti kwa umma, bila BROWN ENVELOP huwaoni ng'o!!!!!!
Fina siku hizi yupo kwenye PR firm ambayo moja ya majukumu yake ni kuandaa shughuli mbalimbali. kama unataka kuandaa shughyuli fulani na ukataka fulani awe mgeni wa heshima, ukikodi firm ya akina Fina mango inashughulikia hayo yote na wewe unawalipa wao moja kwa moja.
nadhani suala la wabunge linaingia kwa sababu wakati fulani, akiwa Cluds, waliwahi kutembelea Bungeni, nadhani hapo ndipo 'urafiki' wake na sita na wabunge ulipoanzia au kukomaa
jASUSU UMEANZA SASA,UNATAKA KUJUAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAHauxtable,
Sijaelewa kabisa ile ya dada Fina Mango. Naomba ufafanue kidogo.
Mtu na akili yako kweli unamwalika Kikwete aje aongee...?
Mkuu maneno yako kweli kabisa. navyoifahamu JF enzi zake hii hoja ya Mwanakijiji ingejibiwa haraka sana na data zaidi kutolewa lakini siku hizi habari nyingi zinatoka magazetini.. Kila kinachoandikwa magazetini ndicho kinachokuja hapa kujadiliwa, tena mara nyingi ukisoma magazeti yenyewe utaona kuna maoni ya watu wengine huvutwa tena hapa..Yaani tumeishiwa muflisi na kitu kimoja kikubwa ni kwamba wakali wengi wa JF wamejimegua siwaoni tena..mkiambia standards za JF zimeshuka manaanza kulalama
kwanza nilitegemea mngeanza kumkoma nyani GILADI kwa kuleta jina la hiyo PR FIRM na iko owned na akina nani na kazi gazi imeshafanya na kiasi gani inatoza
then mtaanza kuuuliza maswali mengine
Hivi mnakumbuka enzi zile JF ilikuwa maarufu kwa kuwa na data na docs?
Imagine hii listi ya matumizi ya wabunge leo SLAA anayo sisi hatuna...i dont know where we kept out eye off the ball
Tazama issue ya DECI hivi mpaka leo the so called wachambuzi wetu wameshindwa kuleta majina ya ma Stake holders wa DECI sasa matokeo yake tunaongea kama wale jamaa waonao jibizana kwenye print media yetu ambayo at most imejaa majungu na copy and paste journalists