Kikwete jiandae kufunga vyuo vikuu vyote leo tena st john wamegoma!!!!!

USTAADHI

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
1,516
Reaction score
136
Mpaka sasa wanafunzi wote wa chuo kikuu cha mtakatifu john MAZENGO DODOMA nao wamefukuzwa na jeshi la polisi na chuo kufungwa kutokana namadai yao yaliyokuwa yanaendelea kwa siku 2 mfululzo, baada ya chuo kushindwa kuwapatia fedha zao za chakula zinazosadikiwa kutolewa na bodi ya mikopo mapema kuanzia trh10 dec kwa hili pia hakuna utatuzi kutoka serikalini zaidi ya kusikia tena kesho kuwa wamefukuzwa moja kwa moja bila kujali kuwa aliyekuwa chanzo cha mgomo ni nani si muda kikwete wanachuo watakuja kwako usilaumu:A S 465:
 

Endeleeni kuwa wavumilivu na watiifu na wapole ili kudumisha amani na uvumilivu katika kisiwa hiki cha amni kiitwacho Tanzania
 
Aendelee kuangalia miaka iliyobaki tu ila laana zake atakazozipata atajuta kuwa raisi wa TZ
 
Bora njaa kwenye amani kuliko pombe na nyama choma vitani.!!!
 
Kama nimemwelewa vizuri mleta hoja ni kwamba hiyo hela ilishatolewa na bodi ya mikopo siku nyingi, meaning kwamba wenye matatizo ni uongozi wa chuo. Sasa sina uhakika kama lawama hizi tumeelekeza mahali husika. Kwa nini tusivisakame vyuo vyetu kwa kushindwa kufanya yale vipasayo kuyafanya?
 

Wewe hiyo danganya toto ili wa2 wa2lie lakini hiyo pesa hakuna m2 wangu yaani haipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…