1. Miundo mbinu, kilometre za lami kwa awamu ya 4 ni nyingi kuliko ukijumlisha za awamu ya kwanza mpaka ya 3
2. ujenzi wa madaraja: kigamboni - on progress na mto malagarasi
3. Mgawo wa maendeleo sawa kwa taifa. Lami na miradi ya maendeleoa imefika mtwara, Ruvuma,kigoma, Rukwa, Tabora na Lindi na Pemba. Awamu ya 1 to 3...lami na miradi ya maendeleo ilikuwa baadhi ya mikoa na kanda km kaskazini
4. Kilimo kwanza: kwa takribani miaka 5 sasa Tanzania ndio inalisha East n central Africa. jana kenya wameomba tani za mahindi 200,000 sudan na somalia wameomba pia
5. Kuboresha mishahara ya wafanyakazi. kikwete ndio raisi wa kwanza kuongeza mishahara sekta ya umma kwa zaidi ya asilimia 40
6. Ujenzi wa bomba la gesi kutoka mtwara kuja dar ambalo.litapunguza adha ya umeme
7. mradi wa DART na tren ya Mwakyembe jijini Dar.
8. Ujenzi wa Terminal 3 uwanja wa Julius Nyerere
9. Mkapa aliua mashirika ya Umma. JK amefufua Reli, NHC, ATC, TANESCO
10. Kuboresha kidogo mikataba ya madini ktk mrahaba na kulipia kodi
11. Ujenzi wa UDOM
12. Mradi vitambulisho vya Taifa
13. Kukibali wazo la kuandika katiba mpya
14. Mradi wa umeme vijijini kupitia REA. zaidi ya asilimia 30 wameunganishwa na umems
15. mradi wa bandar ya bagamoyo
16. mradi wa airpot ya kisasa zanzibar
JK ana mapungufu yake.....lakini alojaaliwa kufanya ni hayo na mengine yanaendelea kutekelezwa