Elections 2010 Kikwete kanyonga?

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
Tulisikia kuwa wakati wa utawala wa mkapa,hakuna aliyenyongwa.je kuna mwenye kujua kama kikwete kanyonga au lah? Na vipi vifo kama cha yule trafic suzana wa musoma!
 
Tulisikia kuwa wakati wa utawala wa mkapa,hakuna aliyenyongwa.je kuna mwenye kujua kama kikwete kanyonga au lah? Na vipi vifo kama cha yule trafic suzana wa musoma!
Yule alijiwahisha baada ya kupima na kuchanganya za mbayuwayu na zake!:A S embarassed:...alijua adhabu ambayo ingempata ingekuwa ni kama kumuua mara tano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…