Elections 2010 Kikwete kukutana na wanahabari


Hivi nini maana ya mdahalo? Labda tukijua maana yake tutaweza kuelewa CCM walisema nini.

Nisahihisheni kama nimekosea, mimi nafikiri alichofanya Dr. Slaa au atakachofanya JK sio mdahalo ni mahojiano. Mdahalo ni pale unapopambanisha watu zaidi ya mmoja kujadili juu ya hoja mbalimbali. Kwa kiingereza mdahalo ni debate wakati ambacho wamekubali CCM sasa ni interview au mahojiano.
 
JK hana uwezo wa kujibu maswali ndiyo maana tangu awali wamekataa mdahalo. JK yeye ni msanii tu mambo yake mipasho,kucheka cheka na kuuza sura.Hivi lakini mnamtakia nini JK wa watu aadhirike bure ukichanganya na kale kagonjwa hawezi kuhimili presha lazima atabuma tuuu. Hao watakaouliza maswali wameandaliwa na maswali anayo tayari maana huyu ni mzee wa kudesa
 
Nachoshangaa ni kwamba tuliwambiwa mgombea huyu yuko bize kwa mdahalo sasa muda huu anautoa wapi????????????????????
 
FOR whatever sweet words that you might engage in your explanation, the question is still unanswered: Why do these ccm and co' diverge from debates?

Wait a minute, have you heard that tomorrow's interview has specially invited few known media representatives, and that they were handed the boundaries from which they have to originate any questions to the mheshimiwa, prior to the occasion?...unaona maneno hii?

If you didnt know, thats the story behind tommorow's kiduku!
 

mchiriku

mnanda

segere
 
Nauliza kwa sababu toka mwanzo wa kampeni CCM walisema TV na midahalo sii sehemu yao na wanataka kuwafikia Wapiga kura kwa Jukwaa tu. Sasa vipi?? (Straton Africa).


Nisahihisheni kama nimekosea, mimi nafikiri alichofanya Dr. Slaa au atakachofanya JK sio mdahalo ni mahojiano. Mdahalo ni pale unapopambanisha watu zaidi ya mmoja kujadili juu ya hoja mbalimbali. Kwa kiingereza mdahalo ni debate wakati ambacho wamekubali CCM sasa ni interview au mahojiano. (bukreef)

Tusiifanye mioyo yetu kuwa migumu kiasi hicho hata kama tuna maslahi binafsi na ufisadi! Bukreef ref straton africa kama hujilazimishi kutoelewa utaelewa tu nini alikusudia Straton!
 
KAKIMBIA MDAHALO...! bila shaka watachaguliwa waandishi wa kuuliza maswali...! wizi mtupu..!
 

Dr. Slaa alihojiwa na mwandishi mmoja pamoja na wananchi waliokuwa na maswali. JK kutakuwa na waandishi zaidi ya mmoja, si ajabu na mwakilishi wa JF atakuwepo.

Pia wananchi watapewa nafasi ya kuuliza maswali. tayarisha maswali yako kama unataka majibu. Ila kama unataka kwenda kuzomea hapo sidhani kama utapata nafasi.
 
KAKIMBIA MDAHALO...! bila shaka watachaguliwa waandishi wa kuuliza maswali...! wizi mtupu..!

Heri wewe umesema ukweli; ni kweli JK kakimbia mdahalo ila kakubali mahojiano.

Mdahalo ni challenging kwa mtu aliyeko madarakani na hasa kama kuna issues zenye utata kama ufisadi kwa TZ. Lakini mahojiano ni rahisi maana unaweza kuandaa hata majibu ambayo hata swali likiulizwa tofauti wewe unapachika majibu yako.
 
Yaani kawaita kwenda kuwahutubia wakati sisi wananchi tunataka mdahalo- ha ha ha - Tena nafikiri kafanya kuwachagua wale weak weak. Sasa kama huwezi kujibu maswali toka kwa wananchi unaomba uongozi wa nini? ai kanti bilivu zisi!!
 
Mie bado nacheka na facebook ya kikwete ambayo ERNESTO SHEKA na wenzake wanaimonita. hebu cheki hapa

Lisa M Marwa
Kikwete, please resign and go home. you are shame to Tanzania people. There is nothing you have done apart from squandering national resources, protecting your corrupt and inept team. Honorably, resign and go back home, you will be at peace instead of sticking your noise into another term. RESIGN because you are sick anyway. Good thing you did not dare come to Tarime, becuse you would have known that people hate you, even with the entire Tanzania military you would have learnt that resigning is better that sticking to power
 
Good move for JK, amesubiri Slaa karopoka yote na sasa anaenda kupangua moja baada ya lingine. Kuanzia na cemnt na bati 5000 mpaka kukua kwa uchumi.

CHADEMA walijiamini JK hataenda kufanya interview na vyombo vya habari, hilo ni goli la kisigino.

Haitakuwa na impact yoyote, jamaa ana documentaries zinazorudiwa karibu kila tv mara kumi kwa siku kwa mda wa week tatu sasa, lakini hazizungumziwi hata kidogo, juzi kaongeza TV Commercials zina-run kwenye Tv karibu zote, nadhani spots kama 10 kila Tv kwa siku lakini hakuna anayezizungumzia,

Dr Amepata wasaa wa kuchambua hoja zake mpaka leo watu wanaziongelea.

Naomba atupe msimamo wake kuhusu MAHAKAMA ya KADHI na Kujiunga na OIC.
 
swali: atajibu akiwa amekaa au amesimama?

Sintoshangaa kama waandishi wa gazeti la mwanachi wasipoalikwa
 

Because hypocrisy stinks in the nostrils one is likely to rate it as a more powerful agent for destruction than it is.
 

Hapo pagumu, kuna kura anajua akikosea maneno tu imekula kwake. NDIO na HAPANA ni majibu hatari kwenye hili
 

HA HA HA Sijui akizisoma hizi comment huwa anajisikiaje?
 
Hapo pagumu, kuna kura anajua akikosea maneno tu imekula kwake. NDIO na HAPANA ni majibu hatari kwenye hili

Na ndio maana nahisi kuwa hawa waandishi walioalikwa watakuwa wamepewa maswali ya kumuuliza mkwere
 
SERIOUS, AWEKE WAZI JE ANAMSIMAMO GANI KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI NA TANZANIA KUJIUNGA OIC?.

Tunataka maswali kama haya siyo maswali mepesi mepesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…