tikotiko
Member
- Jul 9, 2010
- 26
- 0
Baada ya wasanii wa bongo flava kumsifia sana JK na CCM yake kwenye kikao kilichomalizika juzi mkuu wa kaya ameamua kuwaita na kupata nao chakula cha mchana leo!!
Itakumbukwa baadhi ya wasanii wanajulikana ka staili yao ya mavazi na kujihusisha kwao na vitendo visivyofaa (si mnakumbuka TMK?? na skendo zake??) basi hawa jamaaa leo wanakula mlo wa mchana na mheshimiwa sana!!
Nawakumbusha tu; kwenye kikao kilichomalizika juzi Mzee Mkapa, Karume na Mzee Ruksa hawakuonekana kushabikia hawa wasanii hata kidogo...hasa BM, alikuwa ame-fume ile mbaya, tofauti na JK ambaye alikuwa anatabasamu muda wote...hasa kila jina lake linapotajwa!!
Kwa wale tuliopo Dodom akwa sasa nadhani tunaweza kukaribia pia.....
Haya mlo mwema!!!
Itakumbukwa baadhi ya wasanii wanajulikana ka staili yao ya mavazi na kujihusisha kwao na vitendo visivyofaa (si mnakumbuka TMK?? na skendo zake??) basi hawa jamaaa leo wanakula mlo wa mchana na mheshimiwa sana!!
Nawakumbusha tu; kwenye kikao kilichomalizika juzi Mzee Mkapa, Karume na Mzee Ruksa hawakuonekana kushabikia hawa wasanii hata kidogo...hasa BM, alikuwa ame-fume ile mbaya, tofauti na JK ambaye alikuwa anatabasamu muda wote...hasa kila jina lake linapotajwa!!
Kwa wale tuliopo Dodom akwa sasa nadhani tunaweza kukaribia pia.....
Haya mlo mwema!!!