Kikwete kuzileta Barcelona na Real Madrid kuwaburudisha Walalahoi

asisingizie washauri yeye mwenyewe hakumbuki alituambiaga akili za kupewa changanya na zako, au na hiyo alikaririshwa na washauri wake
 
Pengine tumeamua kujenga uchumi kwa kutumia michezo maana kwa kutumia njia zingine mambo yamekuwa magumu.
 
Waje tu kutuburudisha,maana tunahitaji burudani sasa kwa kazi kubwa ya kuijenga nchi yetu,mpaka tumeendelea kiasi hiki cha kwenda huku na kule kuomba hela za kusapoti bajeti yetu,watuletee na chandarua basi,angalau kila mchezaje alete moja tu!!
 

Yaan hii ndo mipango aliyonayo kwa nchi kama hii??nina wasiwasi na hizi safari zake za kila siku!!anaenda kuramba cone 2!!
 
Awachukue under 20 awapeleke huko for at least a year wakajifunze soka will be much help than this. Sie mbona tunaenjoy runingani tu.
 
Mmetujengea heshima kubwa Olimpiki, miaka ya nyuma wanamichezo wetu waliokuwa wakituwakilisha ,baada ya mashindano wanazamia uko lakini nyinyi hakufanya hivyo" alisema Thadeo.

Kweli kuna wachovu wa fikra nchi hii.
 
Hakuna uhusiano wa kibiashara kati ya hizi nchi mbili mpaka tuongelee mpira tuu..
 
Hongera sana mheshimiwa Raisi , kwa kuwaleta Baca ama madrid ni njia mojawapo ya kutangaza utalii wetu
 
Kimaadili, kiuungwana, kiustaarabu na kidemokrasia, mimi ninaheshimu mawazo yako.
 
Hebu angalia rais wa nchi masikini anafikiri anasa tu sheenz!
 
Mkuu Phillemon Mikael,
Wewe ni kiongozi halafu ni mkongwe humu JF tumia lugha ya tafsida kwenye kujenga hoja zako, sio vizuri mtu kama wewe kutamka Rais ni mjinga hata kama unapingana naye.

pumbaf kabisa. Hayo madili wanayotaka kula kodi zetu yafie mbali. Wanaacha kuanza kuandaa wachezaji wa michezo mingine mingi tu tunaiacha wanafikiria kuweka kambi za kina kaseja,ngasa, nk! Hivi hata kurusha mikuki, tripple jump, long jump hatuwezi kutrain watu wakafanikiwa? Huo ujinga wa kuleta sijui brazil, madrid, unatusaidia nini? Au ni kutafuta chance ya kupiga picha na kina ronaldo na messi? Hata huyo balozi nahisi alibaki mdomo wazi kuona state leader anaongea upuuzi ambao kwao unaoongelewa na mameneja wa timu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Phillemon Mikael,
Wewe ni kiongozi halafu ni mkongwe humu JF tumia lugha ya tafsida kwenye kujenga hoja zako, sio vizuri mtu kama wewe kutamka Rais ni mjinga hata kama unapingana naye.

pumbaf kabisa. Hayo madili wanayotaka kula kodi zetu yafie mbali. Wanaacha kuanza kuandaa wachezaji wa michezo mingine mingi tu tunaiacha wanafikiria kuweka kambi za kina kaseja,ngasa, nk! Hivi hata kurusha mikuki, tripple jump, long jump hatuwezi kutrain watu wakafanikiwa? Huo ujinga wa kuleta sijui brazil, madrid, unatusaidia nini? Au ni kutafuta chance ya kupiga picha na kina ronaldo na messi? Hata huyo balozi nahisi alibaki mdomo wazi kuona state leader anaongea upuuzi ambao kwao unaoongelewa na mameneja wa timu.
 
Last edited by a moderator:
mimi huyu raisi nimeshamchoka, kabisa awe anatumia akili zake au anashauriwa mimi kwa kweli nimemchokaa hafai kuendelea kutuongoza
 
kwa sababu watanzania ni wapenda michezo anafikiri anaweza kuwateka kwa kuleta hizo timu tunachotaka walimu na madokta waqlipwe vizuri hivyo ndio vipaumbele vyetu wala hizo timu haziwezi kutatua matatizo tuliyonayo
 
Hapa bora kusoma comments za wadau tu maana mnh.......... umebaki muda mfupi tusije tukaharibu funga za watu siku za mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…