KIKWETE: Leteni Majina ya Wajumbe wa KATIBA niwateuwe!

KIKWETE: Leteni Majina ya Wajumbe wa KATIBA niwateuwe!

kibunda

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
403
Reaction score
52
Hatimaye Mchakato wa kuandika Katiba mpya umechukua sura mpya baada ya Rais kuitisha wadau mbali mbali kupeleka majina ya watu wenye sifa ili awateue.

Source: Chanel Ten.
 
Inatia matumaini kama ni kweli ameamua kufanya vile.
 
Hatimaye Mchakato wa kuandika Katiba mpya umechukua sura mpya baada ya Rais kuitisha wadau mbali mbali kupeleka majina ya watu wenye sifa ili awateue.

Source: Chanel Ten.

Jk chaguo la Mungu.
 
changa la macho hilo ndugu zangu ni kuondoa lawama tu ila watu amabao wana nia ya kutengeneza katiba safi hatawakubali, maana hata muswada ulivopelekwa na kupishwa kimizengwa haionyeshi kama kuna political will, anyway let's watch his move so closely!!
 
Waislam wanadai mahakama ya kadhi ndani ya katiba mpya lazima.
 
CDM wapeleke majina ya Lissu,Marando au Baregu.Mtizamo wangu
 
Safi sana Mheshimiwa Rais this is your legacy
 
jk ni jembe la katiba mpya tunamhiji sana atupatie katiba bora bila yeye kuna mambo yatakenda ndivyo sivyo. mungu amjalie afya njema akamilishe katiba
 
Kingunge Ngombare Mwiru anafaa huyu mzee anauzoefu wa miaka mingi kwenye katiba
 
MAMA POROJO, vipi ile mahakama yenu mtaiingiza kwenye katiba?
 
jk msikivu hili ni mojawapo ya mapendekezo ya chadema walipokwenda ikulu ambapo walishauri wadau wapendekeze majina badala ya rais.
 
changa la macho hilo ndugu zangu ni kuondoa lawama tu ila watu amabao wana nia ya kutengeneza katiba safi hatawakubali, maana hata muswada ulivopelekwa na kupishwa kimizengwa haionyeshi kama kuna political will, anyway let's watch his move so closely!!
Kaka lini ulihitimu chuoni kwa marehem yahya husein?
 
ni hatua nzuri ya rais kuelekea kwenye kupata katiba mpya ya nchi.tutakukumbuka mh.kikwete
 
Ni uamzi mzuri utakaosaidia kuondoa malalamiko kutoka kwa waliozoea kulalamikia kila kitu!
 
Kaka lini ulihitimu chuoni kwa marehem yahya husein?

ni mwaka huu tu ndugu wewe si uliniacha mwaka mmoja ulipohitimu mwaka jana tena wewe si ndio ulipata first class !!
 
Back
Top Bottom