Kikwete 'live' TBC1 Sept 9, 2009

Status
Not open for further replies.
kwa hii address ya :swalikwarais@yahoo.com ni kwamba maswali yetu yanasomwa na mtu yuko nchi nyingine kwanza kabla hata ya rais mwenyewe!! Hii ni aibu kwa ikulu na mkulu mwenyewe.
 
Kila tovuti ina sehemu ya kuandika maoni au maswali pamoja na mawasiliano mengine kupitia tovuti hiyo. Kwa kweli hata mimi nashangaa, hivi Tanzania si kuna tovuti ya taifa, naamini hata Ikulu kuna tovuti kama ilivyo kwa wizara mbalimbali. Maoni na maswali yangepitia kwenye tovuti za hapa hapa nchini kwetu.

Sijui! yetu macho.
 
Nakwambia pale ICT deprt. Ikulu hata server configuration wanamtegemea mtui aliyekuwa UCC, wao ni vilaza wa kutupwa.
 
Muulizeni Game Theory kwa habari ya website ya ikulu na email ya kutumia yahoo.

Inashangaza kidogo ikulu wanapofunga masikio na macho kuhusu malalamiko ya wadau juu ya teknolojia hii mpya. Mmhhh!
 
Natamani ku.....mtu. YAHOO.COMU usawa huu jamani!!!

Januari Makamba, Salva Rweyemamu, tumeshinda humu NETINI miaka mingapi????? bado YAHOO!!

Mungu abariki wasaidizi wa rais wanaoteuliwa kwa misingi ya kujuana na baba(Januari) na RA (Salva)

Pole JK huwezi kufanya kila kitu najua, nakuonea huruma ila ndo nchi hiyo kiongozi wangu.
 
Salva unaboa bana...... kumbe kuna domain ya Ikulu sasa yahoo ya nini tena aaah
 
salva mwenyewe anajua umbea tu magazetini, issues za ICTs zinataka vichwa na pale ikulu ni ukabila tu.
 
Salva unaboa bana...... kumbe kuna domain ya Ikulu sasa yahoo ya nini tena aaah

Huenda mkulu kawashtukiza na sasa wamekosa muda wa ku-hire kichwa cha kwafanyia mambo.
 
lakini TBC1 si ndio wana host kipindi na wao ndio wanatakiwa kupokea maswali sio ikulu
je kwa nini isiwe swalikwaraisi@tbc1.go.tz, tbc1 hawana email au website
maana yake hii tbc.go.tz haifanyi kazi siku zote
 
lakini TBC1 si ndio wana host kipindi na wao ndio wanatakiwa kupokea maswali sio ikulu
je kwa nini isiwe swalikwaraisi@tbc1.go.tz, tbc1 hawana email au website
maana yake hii tbc.go.tz haifanyi kazi siku zote

Mkuu nakwambia ukiingia kwenye wizara na taaisis za serikali kuchunguza jinsi mambo yanavyokwenda ni aibu tupu.
 
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
Kumbe ikulu kuna email hiyo hapo. Kwa isitumike hiyo?????????????????
 
Naona kizunguzungu. Ndiyo yale yale ya Rais Mwinyi (wakati huo) kukutana na 'Wananchi' Lumumba
 
yaani nimesikia huu utumbo tbc nikasikia kichefu chefu. Mm njua raisi ana maswali yote. Asituzuge kwamba hajui maswali, mpeni links za jf atapata maswali yetu. Yeye aje na majibu tu. Maswali anayo. Pili kwa jf tuna system nzuri na secured then msaidieni kuwa na email at jf.com. Asituletee aibu za yahoo Asitulet
 
Atakuwa na muda wa masaa mangapi kujibu maswali ya watanzania wote asije akazimia..wakati swali moja limemshinda la ufisadi au anataka kutuambia nini au anapima kina cha maji...kama hajui maswali ya watanzania akanunue caseti ya mjoba mpoto au atembelee jf..au ngoja nitatuma link ya jamii kwenda: swalikwarais@yahoo.com akachangue mwenyewe swali lakujibu..
 
hivi ikulu hana website teh teh eti nimejaribu kufungua ika display page yenye ujumbe huu:

STATE HOUSE-TANZANIA BUILDING AGENCY
 
Hapo sijaona cha maana atakachoongea. Na then unatumia yahoo adress!

Nchi imeuzwa jamani hadi ikulu inauzwa!!

Nyerere njooo haraka, mwambie Mungu akuruhusu angalau siku moja uje uone wanako wanachokifanya !! wanaichezea Ikulu kama zizi la mbuzi!

Halafu kama hayo maswali yatapitia kwa Tido Muhando , basi hakuna cha maana, maana atafanyia editing hadi ujumbe utakaofika kwa Kikwete hautakuwa wenyewe.

Hizo number za simu hazitakuwa zinapatikana kwa muda huo wote.
 
Kwa mtindo huu ndiyo maana ikulu haina siri tena karibia kila kitu kinajulikana, si ajabu ukakuta pc ya mheshimiwa haina hata password teh teh
 
CCM maji yako shingoni na wataka ku gauge moto wa wananchi kabla ya kikao cha dharula .JK amesha jua wabunge wa CCM ba chama chake kimepoteza imani kubwa na yeye anataka kupima kama anaweza kuwa bado anakubalika kw wananchi .

Siamini kama patakuwa na maswali ya maana watu wanaogopa .JK kajitokeza sasa baada ya watu kusajili simu zao kwamba makombora hayawezi kurushwa .Lakini nategemea kwamba watakuwepo mashujaa . Radio Tumaini nani ana link yao ? Ni TV gani itakuwa LIVE kwe jump TV tuweze kumvaa ?

Jamani any link ya msaada kumsikia mkubwa huyu na kumwagia ndimi za moto atakapo kuwa amekeza ?


Tupeana mapema maana wengine porini huku .
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…