Nchi zetu hizi zimekuwa zikiburuzwa kwenye maandamano yasiyo na maana yeyote kwenye bara letu.
Nchi kama Russia haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo vyake huko GEORGIA,CHECHENYA.
Sudan hawawezi kuilaani Israel kwa vitendo vyao vya mauaji ya halaiki huko DARFUL
Tanzania hatuwezi kuilaani Israel kwa vitendo vilivyofanywa huko ZANZIBAR.
China nayo haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo inavyovifanya kwa wananchi wake.
Hamas nayo haina haki ya kuilaani Israel maana wao ndio wamekuwa waanzilishi wa vurugu,hivyo kusababisha kipigo kinachoendelea sasa hivi,wamekuwa wakirusha makombola nchini Israel kwa kipindi kirefu licha ya Israel kuwaonya mara kadhaa.
Nchi nyingi zinalaani kutokana na UJUHA wetu maana wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE.
Nchi zetu hizi zimekuwa zikiburuzwa kwenye maandamano yasiyo na maana yeyote kwenye bara letu.
Nchi kama Russia haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo vyake huko GEORGIA,CHECHENYA.
Sudan hawawezi kuilaani Israel kwa vitendo vyao vya mauaji ya halaiki huko DARFUL
Tanzania hatuwezi kuilaani Israel kwa vitendo vilivyofanywa huko ZANZIBAR.
China nayo haiwezi kuilaani Israel kwa vitendo inavyovifanya kwa wananchi wake.
Hamas nayo haina haki ya kuilaani Israel maana wao ndio wamekuwa waanzilishi wa vurugu,hivyo kusababisha kipigo kinachoendelea sasa hivi,wamekuwa wakirusha makombola nchini Israel kwa kipindi kirefu licha ya Israel kuwaonya mara kadhaa.
Nchi nyingi zinalaani kutokana na UJUHA wetu maana wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE.
Check your facts properly before posting. It seems that you have fallen victim to Israeli propaganda. It were the Israelis who broke the ceasefire by continuously killing Palestinians. Palestinians have been living under a harsh occupation for years, some have even claimed it is worse than what the South African apartheid was. The Palestinians have the right to liberate themselves.