Kikwete Na "AU vs Taifa"


Kwi kwi kwi!
Kweli watu hubadili mawazo na wazalendo watashinda!
Kumbe mkuu na wewe ulisapoti haya?
 

Mutu huyu mtu kesharudi kutoka safari zake na sasa ni ZIMBABWE!
 
Majukumu ya Ya Afrika aliyopewa Kikwete na Zimbabwe yataliangamiza Taifa letu TANZANIA MUWE MAKINI!
 
Nianavyo afadhali muungwana atamke wazi kwamba anaacha uraisi anahamia kuwa waziri mambo ya nje, kwani simuelewi yeye kila kukicha kiguu na njia na kujiweka kimbelembele kushughulikia ya wengine kumbe kwake kuna waka moto!
 
Aweke Wazi!
Hii Ni Huzuni Sana Kwa Taifa Letu!
 

Mkuu nafikiri kwenye katiba hiki kipengele kipo ila sina hakika ngoja nikachambue msaafu nije na jibu la uhakika. ila hata kama kipengele hicho kipo nani wa kumfunga paka kengele??
 
Huyu mtu kauza nchi!
Na sasa anatumika kuuza BARA LOTE!
VITA ITAKAYOANZA HUKO ZIMBAWE ITASAMBAA!
NA MAKABURU WATALICHUKUA BARA NA KUDAI KUWA SISI NI WANYAMA WASIOWEZA KUISHI PAMOJA!
MIPAKA ITAWEKWA UPYA...NA AFRIKA KUGAWANYWA UPYA!
HAMJUI YA IRAQI?
NIULIZENI...IRAQI IMESHAGWANYWA!
SI TAIFA TENA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…