Kikwete (na serikali yake) anaogopa kumshtaki Balali


Source:

http://www.raiamwema.co.tz/08/01/23/1.php
 

Hii kweli inafurahisha sana. naweza kusema the most interesting of all. Sasa angalia kama ni hao hao walioko kwenye nyadhifa za serikali watafanyaje na pesa za serikali
 

Wewe Mwenyewe hapo ulipo ni jikoni na unalea wazee na watoto. Huoni kuwa unatia aibu kwa kudhani wenzako watafanya unachofanya?
Au unataka niwaeleza memba hapa kazi yako unayofanya nyakati za usiku?
 
Kwi kwi kwi kwiii Tueleze Mwafrika wa kike maana ID tu ndio inakatazwa usiitaje ila anapokaa na kazi yake RUKHSA!🙂
 
Kwi kwi kwi kwiii Tueleze Mwafrika wa kike maana ID tu ndio inakatazwa usiitaje ila anapokaa na kazi yake RUKHSA!🙂

FD,

Heshima mbele mkuu.

Leo jumatano mkuu ngoja tuendelee kukata issues for now tukisubiri weekend wakati wa free style........lol
 
Now as we guessed, Ballali is yet to be Mtuhumiwa! unless he is implicated, then exreadition process will start!
Niliwaambia hakuna shitaka la uzembe na tamko la Mwapachu lina maana kuwa Ballali si fisadi bado! The underlying word is MIGHT!

 

Kwa taarifa yako, hao walioiba hizo fedha mmoja alikuja kuuwawa na kina Zombe baadaye kule Kimara na kifo chake bado kina utata na ndiye ambaye gari lake limechukuliwa na Tibaigana
 
Admini: Kwanini hizi mada za sasa zaBoT zisiwekwe mahali pamoja? Mana naona kama baadhi ya mambo yanajirudia ama kuchanganya
 

Haya maneno mbona kama yanatia kizunguzungu!!!! Enyi wafanyakazi wa BoT muliopo JF na jamaa zenu tuambieni pia ni nani aliyekua anashinda BoT kumshinikiza huyu mzee?
 
Ikitokea samaki wameingia sumu katika bwawa humtoi samaki moja moja ili kumaliza hilo tatizo la sumu. Unachofanya ni kuyatoa maji yote kwenye bwawa na samaki wenye sumu wote watakufa, then unaweka maji mengine na kupandikiza samaki wengine mambo yanaendelea. Madamu tunaendelea kufikiri kwamba tatizo ni Balali, Kikwete, Mkapa au mtu mwingine yeyote katika CCM na sio CCM (maji) yenyewe, tutaendelea kusubiri sana hili tatizo la ufisadi kwisha. Tukubaliane basi kwamba kuwashughulikia akina Balali na wengine ni short term solution, our long term solution to our country's woes should be to uproot CCM from power.

Na pia tukumbuke kuwa Kikwete yupo ofisini sio madarakani. Wenye madaraka ni wengine na ndio maana hana ubavu wa kuwafukuza walaji kazi hata kama ushahidi utakuwa wazi namna gani. Sasa ni kazi yetu kutafuta ni nani hasa wenye madaraka katika serikali yetu ili tuwabane.
 
Miezi sita ya kufunika kombe itatosha, au waombe waongezewe muda?
 
Watanzania tuko waoga mno. Itaenedelea hivihivi hadi taratibu itazimika tu.
Jenerali aliwahi kuandika eti "kila mtu na kamhogo kake" yaani eti tunaridhika na umaskini wetu ali mradi hako kadogo ninakokula kasiniponyoke.
Watanzania tuamke. Hata sasa ukiwauliza waTZ vipi mwaweza kuwa jasiri angalau kwa nusu ya walivyofanya wakenya? watakujibu ati mimi siwezi kufa kwa ajili ya vizazi vijavyo- mtu mzima ovyoooo!
 
Kitika umesema maneno mazito ya kumwaga maji bwawani ili kuondoa sumu yote . Ukimwaga means hata JK must go maana naye si msafi hata kidogo .Je yuko tayari kuitwa Pres wa miaka 3 ?
 
Lunyungu: Nafikiri haujampata vyema Mh. Kitila. Hajamaanisha Kikwete amwagwe immediately, ila uchaguzi ujao kwa kuindoa kabisa CCM madarakani. Hii njia muhafaka na muhimu sana katika kuutokomeza ufisadi. Kumbuka si kweli kabisa kwamba "DALALI" Balali yuko peke yake, katika hii ishu ndo maana "wenzie" wamemficha wakisuburi mambo yapoe. Hatupaswi kurudi nyuma, this is the very good stepping stone we have ever had in the history of Tanzania to take CMM out. Dalali and Co. first, then Kikwete and CCM in 2010! C'on Tanzania!!
 
Uuuwiii Mwamunyange Kaa Tayari Kijana Wangu Nchi Hiyoo Inakuja Mikononi Mwako.mungu Akupe Nini? Na Usicheke Na Kima Yeyote Piga Jela Wote Tena Usipate Tabu Tumia Hao Hao Vijana Wako Ambao Nina Imani Kwanza Walishakata Tamaa Na Wana Hasira Ya Kumvunja Mtu Kiuno
 
Halafu Ukishakamata Huo Mpini Kwanza Fanya Uhakiki Wa Biashara Zoote Zinazofanywa Na Wahindi Maana Hawa Ndiyo Sumu Ya Nchi Wabaguzi Wakubwa Halafu Hata Kama Wana Vibali Halali Futa Vyote Na Hizo Nafasi Uwape Wazawa Maana Kwa Wazawa Wa Tanzania Kupata Kibali Cha Kuagiza Chochote Imekuwa Ni Ngumu Mno Waulize Wauza Madawa Watakueleza, Na Si Pia Unakumbuka Lile Sakata La Yule Mhindi Aliyepewa Kibali Cha Kuagiza Dawa Za Kifua Kukuu Jinsi Alivyowaua Wa Tz Kwa Kuwalisha Dawa Feki Miaka Mitatu Mfululizo Na Wala Serikali Haikumfanya Chochote Jamani Jamani Sitaki Kukumbuka
 
My God!sasa Tufanyeje Na Hii Serikali? Maana Kikwete Ameshaona Kabisa Nyumba Inaungua Hii Na Hana Jinsi, Kweli Sasa Naamini Hakuna Hali Ya Kudumu Milele
 
Kila Wizi Mkubwa Uliofanyika Lazima Mhindi Yuko Ndani Sasa Wa Nini Hawa? Kwanini Msitimue Au Wana Msaada Gani Mkubwa Sana Kwetu?mlilogwa Na Nani Nyie? Au Mnataka Nani Awasemee Au Hamjakua Bado?pls Wake Up Tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…