KIKWETE ni bora serikali yako ijenge ikulu ndogo USA

KIKWETE ni bora serikali yako ijenge ikulu ndogo USA

mtvbase

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2014
Posts
1,243
Reaction score
561
Mh rais JK kila mara anatembelea USA yaani ukihesabu idadi ya ziara zake USA na MBEYA au BUKOBA utaona USA ametembelea sana.kutokana na gharama za kufikia na kuishi hotelini kila Mara huko USA ni bora angejenga ikulu ndogo tu ili kupunguza gharama za hotelini
 
Hakuna sababu kwani amebakiza mwaka mmoja aishie zake
 
Back
Top Bottom