KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 540
Ameuza timu toka kipenga cha kwanza kilipopulizwa. Ameruhusu magori kuingia hata pale alipotakiwa kudaka.
(i) Ameruhusu David Balali kukimbia nchi,
(ii) ameruhusu Andrew Chenge kuendelea kupeta mitaani na kuwa miongoni mwa viongozi wa chama pamoja na mgombea ubunge wa bariadi mashariki
(iii) Amewanadi Mramba na Rostam kwa ajili ya ubunge pamoja na tuhuma zote walizo nazo
(iv) Anawadanganya watanzania kuwa Lowasa alistaafu wakati alijiuzuru
(v) Ameshindwa kuwakamata wafujaji wa pesa za EPA, Meremeta na tangold
(vi)Amewakumbatia mafisadi ndani ya chama
(vii) Ameruhusu walanguzi wa umeme waendelee kutulangua kwa kisingizio cha gharama za uendeshaji
(viii)..............
(i) Ameruhusu David Balali kukimbia nchi,
(ii) ameruhusu Andrew Chenge kuendelea kupeta mitaani na kuwa miongoni mwa viongozi wa chama pamoja na mgombea ubunge wa bariadi mashariki
(iii) Amewanadi Mramba na Rostam kwa ajili ya ubunge pamoja na tuhuma zote walizo nazo
(iv) Anawadanganya watanzania kuwa Lowasa alistaafu wakati alijiuzuru
(v) Ameshindwa kuwakamata wafujaji wa pesa za EPA, Meremeta na tangold
(vi)Amewakumbatia mafisadi ndani ya chama
(vii) Ameruhusu walanguzi wa umeme waendelee kutulangua kwa kisingizio cha gharama za uendeshaji
(viii)..............