Elections 2010 Kikwete ni mtu hatari anayetaka kulisambaratisha taifa, tukae nae chonjo !

Elections 2010 Kikwete ni mtu hatari anayetaka kulisambaratisha taifa, tukae nae chonjo !

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Anataka kulisambaratisha taifa la Tanzania hivi hivi mbele ya macho yetu kwa kukitumia chama kilichokwisha kupoteza dira na kimebakia kuwa kama pango la mafisadi. Watanzania lazima tuamke tumkatae Kikwete, tuikatae CCM na tuwakatae wote wale ambao hawana nia njema na nchi yetu tukufu.

Tanzania tunakupenda na katu hatutakubali wezi, walafi, waongo na wanafiki watuburuze kwa manufaa yao, familia zao na rafiki zao bila kujali maslahi ya taifa. Tarehe 31 Oktoba tujitokeze kwa wingi tumshinde huyu adui wetu nambari wani na tuikomboe nchi yetu, muda mwafaka umewadia.

Wao wana pesa, wazalendo wana kura.
Kula
kwa Kikwete,
kura kwa Dr. W.P. Slaa.

 
Mpigeni chini huyu anayetaka kuifanya nchi ni ya familia!
 
Back
Top Bottom