Kama ulikuwa kichwani mwangu yaani Mwana FA anaonekana mzee kushinda Kikwete [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kikwete huwa hazeeki. Ila huyu baba, Mungu ambariki sana...
Yeye anaenda kwa kasi zaidiTunataka Chibu Dangote arudi kwa hewa mapema iwezekanavyo!
Hakuna ya FA, Manara wala ya ChibuHivi zile perfume za diamond bado zipo?
Hata diamond karanga sizioni tena madukaniHivi zile perfume za diamond bado zipo?
Ya FA ipoHakuna ya FA, Manara wala ya Chibu
Ni zile stock ambazo hazikuuzwa lakini hakuna new productionYa FA ipo
Haya maigizo yana mwisho,muda utaongeaHata diamond karanga sizioni tena madukani