Mheshimiwa Rais Kikwete,
Ombi rasmi mkuu. Unapounda baraza lako jipya, tuachie wale Wabunge wetu maarufu kama bakibencha. Usiwa-Bangusilo na kuwapa Uwaziri.
Twaomba wafuatao wasiwemo katika baraza lako jipya: Anna Kilango, Harrison Mwakyembe, Lucas Seleli, Manyanga, Zitto, Slaa na wengine ambao wameonekana kuisulubu Serikali!
Mimi Raia Mkosoaji wa Serikali yako,