M mpangwa1 JF-Expert Member Joined Jul 19, 2009 Posts 278 Reaction score 8 Dec 10, 2009 #121 SHUPAZA said: Na Sadick Mtulya "Asilimia 15 watakupenda, asilimia 15 nyingine watakuchukia na asilimia 70 iliyobaki watabaki wanaangalia upepo unaelekea wapi Click to expand... Anamanisha 70% (85-15%) waliompa kula 2005 walifuata upepo yaani walifutwa tu na 15% ya wanamtando. it is interesting
SHUPAZA said: Na Sadick Mtulya "Asilimia 15 watakupenda, asilimia 15 nyingine watakuchukia na asilimia 70 iliyobaki watabaki wanaangalia upepo unaelekea wapi Click to expand... Anamanisha 70% (85-15%) waliompa kula 2005 walifuata upepo yaani walifutwa tu na 15% ya wanamtando. it is interesting
B Boramaisha JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 820 Reaction score 18 Dec 10, 2009 #122 mpangwa1 said: Anamanisha 70% (85-15%) waliompa kula 2005 walifuata upepo yaani walifutwa tu na 15% ya wanamtando. it is interesting Click to expand... Kumbe anajua wapo akina bendera kufuata upepo na wataendelea kuufuata huo upepo hata mwakani!
mpangwa1 said: Anamanisha 70% (85-15%) waliompa kula 2005 walifuata upepo yaani walifutwa tu na 15% ya wanamtando. it is interesting Click to expand... Kumbe anajua wapo akina bendera kufuata upepo na wataendelea kuufuata huo upepo hata mwakani!
B Boramaisha JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 820 Reaction score 18 Dec 10, 2009 #123 Tumain said: Nafikiri ile nafasi ya Pinda ampe Magufuli maana pinda kawa mpole sana, magufuli angewafagia hawa mawaziri wanao underperfom Click to expand... Hata kama Pinda angelikuwa anataka kuwafagia mawaziri asingeliweza bila ridhaa ya Rais. Inategemea na mtazamo wa Rais wa hiyo underperformance na kama anaweza kusikiliza na kukubali mawaziri wafagiwe na Waziri Mkuu!
Tumain said: Nafikiri ile nafasi ya Pinda ampe Magufuli maana pinda kawa mpole sana, magufuli angewafagia hawa mawaziri wanao underperfom Click to expand... Hata kama Pinda angelikuwa anataka kuwafagia mawaziri asingeliweza bila ridhaa ya Rais. Inategemea na mtazamo wa Rais wa hiyo underperformance na kama anaweza kusikiliza na kukubali mawaziri wafagiwe na Waziri Mkuu!