Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wandugu,
Ninaudhika sana ninapomwona kikwete anawafokea watu wazima kama mawaziri hadharani; mbele ya waandishi wa habari. Yeye ana rekodi gani anayojivunia inayompatia nguvu ya kuwanyoshea wenzie tena hadharani? Hivi huyu jamaa uswahili ataacha lini??? Ananiuuuuuudhiiiiii, yaaani basi tu!!
Ninaudhika sana ninapomwona kikwete anawafokea watu wazima kama mawaziri hadharani; mbele ya waandishi wa habari. Yeye ana rekodi gani anayojivunia inayompatia nguvu ya kuwanyoshea wenzie tena hadharani? Hivi huyu jamaa uswahili ataacha lini??? Ananiuuuuuudhiiiiii, yaaani basi tu!!