Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Oct 3, 2009 #2 Sijui ya nani bei mbaya hapo...
N Nwaigwe JF-Expert Member Joined Jul 9, 2009 Posts 1,053 Reaction score 914 Oct 3, 2009 #3 jamani mbona kikwete katuna hivyo kwenye hiyo suti?
S Son of Alaska JF-Expert Member Joined Jun 2, 2008 Posts 2,812 Reaction score 1,061 Oct 3, 2009 #4 Julius said: Sijui ya nani bei mbaya hapo... Click to expand... ya pinda ni PINSTRIP hence most probably it will be expensive
Julius said: Sijui ya nani bei mbaya hapo... Click to expand... ya pinda ni PINSTRIP hence most probably it will be expensive
Mwazange JF-Expert Member Joined Nov 16, 2007 Posts 1,056 Reaction score 82 Oct 3, 2009 #5 Ya pinda ni dizaini za kitaliano hizo.....i believe ndio expensive.....sisemi kuwa ya mkuuu wa kaya ni chipu vilevile.....zote hizo mbili zinaweza kununulia madawati shule nzima pale mwakinyumbi....
Ya pinda ni dizaini za kitaliano hizo.....i believe ndio expensive.....sisemi kuwa ya mkuuu wa kaya ni chipu vilevile.....zote hizo mbili zinaweza kununulia madawati shule nzima pale mwakinyumbi....