Kwa kweli mimi nimesoma mwanza pale saut,kiukweli masha hapendwi na wananyamagana,mwaka 2005 alishinda kwa sababu hakukuwa na mpinzani wa kweli na mwenye uwezo kama wenje,wenje ni classmate ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja kuliko lau,go wenje go mate,wanasaut na wahadhiri wooote kura kwa kijana wenje.