Elections 2010 Kikweteee!

JK amechelewa kujisafisha kwa watanzania,swahiba/mkereketwa wa CCM kibonde akafikiri anamuuliza swali rahisi rais wake kumbe kamkaanga hajui hata muundo wa serikali yake.heshima ya urais ipo wapi km atapita barabarani kwenye VX halafu halafu citizen wanakuzomea hawana time naye.
 
Unajisikiaje kuapiswa leo? ukizingatia watu zaidi na Nusu hawajapiga kura, pia hukuchaguliwa na wananchi kwenye miji mikubwa kama Dar, Mza, Arusha, Moshi na Mbeya.

Hivi Rasi utatekeleza kweli ahadi zako zote 65 ulizozitoa au ulikuwa danganya toto?
 

Kwa nini abadilike wakati amepata kile alichokuwa anataka? Kuendelea kuwatia umaskini Watanzania na kuigeuza Tanzania nchi ya kifalme. Kampeni yake kubwa sasa ni namna ya kumfanya Ridhiwani awe raisi. Hivyo atajenga hoja ya kubadilishwa katiba ili umri wa kugombea uraisi uwe miaka 21. Vilevile atapigana kufa na kupona ili Ridhiwani ateuliwe kuwa mgombea wa uraisi kupitia chama cha mafisadi. Na kutakuwa ni kipengele kingine kuwa baada ya Ridhiwani kuwa Raisi Tanzania itageuka kuwa nchi ya kifalme ambayo itajulikana Muungano wa Ufalme wa Tanzania (United Kingdom of Tanzania ) na Mfalme wake atakuwa Ridhiwani Kikwete. Hongera sana Mfalme Kikwete!
 

Weka hoja , sio maneno matupu kama hayo. Na wewe nenda basi ukapewa huo ufalme kwani unaonekana una hamu nao sana. Wekeni hoja , sio upuuzi kama huu bana.
 
Kikwereeeeeeeeeeeee aiseeeeeeeeeee
swali: inaelekea una constructive ideas, kwanini nchi yako maskini? mmmhh... sijui, mm nafikiri alitaka kusema watu ndio wanapenda umaskini, naumwa paaaap nikisikia hili
Iringa in campaign: I am sorry napokea simu kutoka kwa balozi wa marekani, what's up ma men..!!? i am good, who..? Obama...kasema atamwaga misaada kama mvua oohh god thank you, you, u u u...... .ha haa haaa haaahhhhh.... Mara nilikuwa naongea na US ambassador, kasema Obama kaisifia saaaaaana TZ, ataimwagia misaada, mmesikia jamaani nichagueni,........!!!!!!!!! watu mmmmmmmmmmmhhhh...eeeeeeeehh..!!!!!?????:crazy::hurt::blah::A S thumbs_down::A S-confused1::nono::nono::nono::nono: No, noo, noooooooooooooo
 
Jaji Makame choka ile mbaya; 2015 hafiki!!!!!!!!!

Nasilia vijana wa CCM na UWT wamemdanganya kwamba VIAGRA pamoja na mambo mengine inasaidia kurefusha maisha.
MAsikini Kishaibu Makame anabwia Viagra kila siku ili walau afike 2015 atufisadi tena.
 
Question. Mr. President....... Why your country is so poor?

ANSWER. I actually don't know why is so poor.


Swali kwa Kikwete: what have you achieved in five years as a president of URT?
Jibu from Kikwete: Najivunia kuwa foleni za magari zimeongezeka ndani ya miaka tano ya utawala wangu, hii inaonyesha kuwa watanzania
wamenufaika na utawala wangu.

Thats our president Mr Kikwete (Phd):doh:
 

Ni aibu iliyoje kuwa na mtu anaitwa Judge, halafu anachumia tumbo kwa kuliingiza taifa kwenye hali ya suspense kama hii! Ptu!!
Hivi ana watoto kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…