Kila aina ya mavazi ina sehemu zake maalumu kuvaliwa

Kila aina ya mavazi ina sehemu zake maalumu kuvaliwa

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
18,611
Reaction score
27,615
Kila aina ya mavazi ina sehemu zake maalumu kuvaliwa. Kuna kituo kimoja maarufu cha tv watangazaji wake wamekuwa wakiingia studioni na mavazi ya kidini kuanzia kichwani hadi miguuni.

Je ni fasheni? Maana hicho kituo cha tv si cha kidini. Kuna kituo kingine maarufu watangazaji wake hawajawahi kuonekana wamevaa kidini ina maana huko kuna dressing code inayotakiwa na isiyotakiwa kuvaliwa?

Au kila kituo cha tv kina sera yake ya mavazi ya watangazaji wake kuvaa wawapo studioni?
 
c2fe8d53-58fb-4ff3-b574-148bbf40c7b3.jpg
 
Kuna wimbi pia la viongozi wengi wa taasisi mbalimbali au mara kwa mara kuvaa mavazi ya mrengo fulani wa kidini, inaweza kuwa wanaenda na upepo unakovia pia.
Kila aina ya mavazi ina sehemu zake maalumu kuvaliwa. Kuna kituo kimoja maarufu cha tv watangazaji wake wamekuwa wakiingia studioni na mavazi ya kidini kuanzia kichwani hadi miguuni. Je ni fasheni? Maana hicho kituo cha tv si cha kidini. Kuna kituo kingine maarufu watangazaji wake hawajawahi kuonekana wamevaa kidini ina maana huko kuna dressing code inayotakiwa na isiyotakiwa kuvaliwa? Au kila kituo cha tv kina sera yake ya mavazi ya watangazaji wake kuvaa wawapo studioni?
 
Kila aina ya mavazi ina sehemu zake maalumu kuvaliwa. Kuna kituo kimoja maarufu cha tv watangazaji wake wamekuwa wakiingia studioni na mavazi ya kidini kuanzia kichwani hadi miguuni.

Je ni fasheni? Maana hicho kituo cha tv si cha kidini. Kuna kituo kingine maarufu watangazaji wake hawajawahi kuonekana wamevaa kidini ina maana huko kuna dressing code inayotakiwa na isiyotakiwa kuvaliwa?

Au kila kituo cha tv kina sera yake ya mavazi ya watangazaji wake kuvaa wawapo studioni?
Hacha kimungunya maneno dini yenye mavazi maalumu ni uisilamu hapa tz hakuna kituo hata kimoja ambacho watangazaji wake wanayavaa kutoa vituo vilivyo sajiriwa kama via dini,unajitia kujua mavazi ya uisilamu lakini uyajui ukiona mwanamama kajifunga kitambaa kichwani kama mama samia tayali unajua kavaa kidini wengine wanaficha mvi wengine nywele zao za kipilipili,mavazi ya kiisilamu mchezo[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hacha kimungunya maneno dini yenye mavazi maalumu ni uisilamu hapa tz hakuna kituo hata kimoja ambacho watangazaji wake wanayavaa kutoa vituo vilivyo sajiriwa kama via dini,unajitia kujua mavazi ya uisilamu lakini uyajui ukiona mwanamama kajifunga kitambaa kichwani kama mama samia tayali unajua kavaa kidini wengine wanaficha mvi wengine nywele zao za kipilipili,mavazi ya kiisilamu mchezo[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Harakaharaka umekimbilia kwenye akina mama wanaojifunika ushungi, uwe unaangalia tv, tena jaribu kuwa mchunguzi wa mavazi wanayovaa watangazaji, linganisha na vituo vingine uone kama dressing code iko sawa. Povu acha
 
Back
Top Bottom