Kila akifa kiongozi mzito tunamuenzi kwa sikuyake ambapo ni mapumziko day

Kila akifa kiongozi mzito tunamuenzi kwa sikuyake ambapo ni mapumziko day

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Binadamu lazima afe,na viongozi ni wengi, na ajali ni nyingi,na ili kumuenzi kiongozi siku inapewa jina lake na watu wanapumzika kazi kiofisi hasa serikalini,na kila mwaka viongozi wanakufa.je unadhani siku kwa badae zikiwa nyingi haitaadhiri utendaji wa kazi na maendeleo kama elimu kivile.
 
Binadamu lazima afe,na viongozi ni wengi, na ajali ni nyingi,na ili kumuenzi kiongozi siku inapewa jina lake na watu wanapumzika kazi kiofisi hasa serikalini,na kila mwaka viongozi wanakufa.je unadhani siku kwa badae zikiwa nyingi haitaadhiri utendaji wa kazi na maendeleo kama elimu kivile.

NI NANI NA NANI WAMEPEWA SIKU AMBAZO WATU WANAPUMZIKA??? Nafikiri ni waasisi wa taifa tu. I dont think ni kwa kila kiongozi 'mzito'
 
Nawewe kufa kifo kama cha Gaddaf alafu tutakuenzi,au kufa kifo kama cha saddamu ili tukuenzi.Kimba wewe fikiri kabla ya kuandika mavi. This is the home of great thinker.
 
Kazura akili yako ina mimba,toa hoja acha kuongea pointless
 
Back
Top Bottom