MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 332
Inamaana kwa sasa umetoka kwenye mkondo wa upadri!any way huyo anakufanyia ukarimu wa kawaida tu wa kibinadamu bana.Lakini kama unataka kuanzisha mahusiano unaweza kujaribu ila usihusianishe na hizo sahani za wali huku ukijua kuna mawili
1.kupata mpenzi mpya
2.kukosa vyote,yaani mapenzi na ubwabwa.
kATIKA HALI ISIYOKUA YA KAWAIDA JIRANI YANGU, bINTI NZURI HUWA ANANIPA CHAKULA ila hasemi chochote.Naogopa usikute ananipenda kimapenzi.
Nilikua nasomea upadri na naogopa asijenimiliki, angali bado sijafanya maamuzi
Naombeni ushauri
kATIKA HALI ISIYOKUA YA KAWAIDA JIRANI YANGU, bINTI NZURI HUWA ANANIPA CHAKULA ila hasemi chochote.Naogopa usikute ananipenda kimapenzi.
Nilikua nasomea upadri na naogopa asijenimiliki, angali bado sijafanya maamuzi
Naombeni ushauri
kATIKA HALI ISIYOKUA YA KAWAIDA JIRANI YANGU, bINTI NZURI HUWA ANANIPA CHAKULA ila hasemi chochote.Naogopa usikute ananipenda kimapenzi.
Nilikua nasomea upadri na naogopa asijenimiliki, angali bado sijafanya maamuzi
Naombeni ushauri