Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 25
wapendwa
kuna mwanamume mmoja mume wa mtu, alikuja kwangu kutafuta ushauri juu ya ndoa yake iliyokuwa na matatizo.
katika mazungumzo yetu, alidokeza kuwa kila msichana aliyetokea kumpenda maishani mwake alipomtongoza alimkataa, na kila aliyefanikiwa kumpata hakumpenda kabisa na hata hakutaka watu wajue kuwa anatembea naye!
na mwishowe alioa mmoja wa watu ambao hakuwapenda kabisa na havutiwi nae hata kidogo kwani wote alowapenda walimkataa. matokeo yake hata hafla wanazoalikwa kama mke na mume au "outings" hawaoki pamoja kwa sababu anaona aibu.
ni wazi huyu mtu ana mapambano ya kisaikolojia, anahitaji msaada, hafurahii ndoa yake, hafurahii maisha, amegeuka kuwaona baadhi ya watu kama wamependelewa na yeye amelaaniwa japo hajui nani aliyemlaani na kwa sababu gani,
anaamini kuwa hana bahati hapa duniani. amekwishaapa kuwa akitokea mtu akamwambukiza ukimwi atamuua na yeye kujimaliza,! kwani hatakubali dunia imnyanyase kiasi hicho na mwishowe immuue kwa kifo kibaya cha aibu kama ukimwi.
mna maoni gani hapo? huyu mtu tutamsaidiaje?
kuna mwanamume mmoja mume wa mtu, alikuja kwangu kutafuta ushauri juu ya ndoa yake iliyokuwa na matatizo.
katika mazungumzo yetu, alidokeza kuwa kila msichana aliyetokea kumpenda maishani mwake alipomtongoza alimkataa, na kila aliyefanikiwa kumpata hakumpenda kabisa na hata hakutaka watu wajue kuwa anatembea naye!
na mwishowe alioa mmoja wa watu ambao hakuwapenda kabisa na havutiwi nae hata kidogo kwani wote alowapenda walimkataa. matokeo yake hata hafla wanazoalikwa kama mke na mume au "outings" hawaoki pamoja kwa sababu anaona aibu.
ni wazi huyu mtu ana mapambano ya kisaikolojia, anahitaji msaada, hafurahii ndoa yake, hafurahii maisha, amegeuka kuwaona baadhi ya watu kama wamependelewa na yeye amelaaniwa japo hajui nani aliyemlaani na kwa sababu gani,
anaamini kuwa hana bahati hapa duniani. amekwishaapa kuwa akitokea mtu akamwambukiza ukimwi atamuua na yeye kujimaliza,! kwani hatakubali dunia imnyanyase kiasi hicho na mwishowe immuue kwa kifo kibaya cha aibu kama ukimwi.
mna maoni gani hapo? huyu mtu tutamsaidiaje?