gashambala uwezo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 485
- 67
Wana jamiiforums naomba msaada wenu;
Shemeji yangu sasa ana kama wiki tatu ni mgojwa sana anasumbuliwa na maumivu makali sana ya kichwa na pili hana nguvu kabisa, tulimpeleka hospitali madakitari walimchukua vipimo, tukaelezwa ana upungufu wa damu, na aliwekewa damu kinachotushangaza sisi akiwekewa damu tu ' kesho yake inakuwa imeisha kabisa na aliweza kuwekewa mara nne yaani chupa 4, na yote inaisha.
Aidha mgojwa amebadilika na amekuwa wa njano, wapo waliotwambia yamukini anaweza kuwa na njano tuliekezwa dawa mbalimbali za kienyeji ametumia lakini ndugu zangu khali haibadiliki, ukimwangalia mgojwa bado ana afya yake kama kawaida, yaani hajapungua.
Mgonjwa hawezi kwenda msalani mpaka awe na mkogojo au mtu wakumushikilia, ana kiu isiyoisha anaku unywa maji mengi sana.
kwa sasa yuko nyumbani, wiki iliyopita alipata kanafuu akaruhusiwa
Jamani hii nini?
Shemeji yangu sasa ana kama wiki tatu ni mgojwa sana anasumbuliwa na maumivu makali sana ya kichwa na pili hana nguvu kabisa, tulimpeleka hospitali madakitari walimchukua vipimo, tukaelezwa ana upungufu wa damu, na aliwekewa damu kinachotushangaza sisi akiwekewa damu tu ' kesho yake inakuwa imeisha kabisa na aliweza kuwekewa mara nne yaani chupa 4, na yote inaisha.
Aidha mgojwa amebadilika na amekuwa wa njano, wapo waliotwambia yamukini anaweza kuwa na njano tuliekezwa dawa mbalimbali za kienyeji ametumia lakini ndugu zangu khali haibadiliki, ukimwangalia mgojwa bado ana afya yake kama kawaida, yaani hajapungua.
Mgonjwa hawezi kwenda msalani mpaka awe na mkogojo au mtu wakumushikilia, ana kiu isiyoisha anaku unywa maji mengi sana.
kwa sasa yuko nyumbani, wiki iliyopita alipata kanafuu akaruhusiwa
Jamani hii nini?