Kila biashara ina changamoto zake

Kuna biashara za wanaumme na wanawake, kama hiyo mtu mwenye focus siwezi kuifanya, ntakopeshaji mtu wakati hamna guarantee ya kulipwa hana bima hiyo biashara hapana.
 
Hii naona ni biashara ya kufanya kwa kiwango cha chini kabisa

Unampa mtu nguo anavaa hajakulipa, asipokulipa unamfanya nini?

Bora hata hiyo pesa ikopeshwe kwa riba kwa microfinance au hata uweke UTT utapata kagawio na usalama wa pesa yako unakuwepo
 
Biashara ni cash and carry zaidi ya hapo ni maumivu tu,ndio maana inakulazimu uwe na ofisi kinyume na hapo ni kupoteza pesa na muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…