Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hawa nimiongoni mwa wafanyabiashara wanaokutana na mazingira magumu sana pindi wakiwa kwenye ofisi zao.
Natumaini wengi wetu tumeshakutana au kuona jinsi gani hawa jamaa wanavyofanya hizo biashara zao wakiwa kwenye mishe mishe za kukimbizana na mabasi hususani yale yaendao kwa mikoani.
Ajabu ni pale abiria wanapofanya jambo ambalo linawapa wafanyabiashara hao wakati mgumu pale wanapotaka kununua bidhaa zao, wanachukua bila kutanguliza pesa na kisha wanavizia basi liondoke kisha wanaondoka na pesa ya mfanyabiashara huyo.
Kiubinadamu si jambo jema maana unamrudisha nyuma mfanyabiashara huyo na si kwamba wamkomoa.

Natumaini wengi wetu tumeshakutana au kuona jinsi gani hawa jamaa wanavyofanya hizo biashara zao wakiwa kwenye mishe mishe za kukimbizana na mabasi hususani yale yaendao kwa mikoani.
Ajabu ni pale abiria wanapofanya jambo ambalo linawapa wafanyabiashara hao wakati mgumu pale wanapotaka kununua bidhaa zao, wanachukua bila kutanguliza pesa na kisha wanavizia basi liondoke kisha wanaondoka na pesa ya mfanyabiashara huyo.
Kiubinadamu si jambo jema maana unamrudisha nyuma mfanyabiashara huyo na si kwamba wamkomoa.
