Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 1,043
- 2,309
Humu kuna wanaume mnajipikia msosi??
Katika vitu vitakavyofanya nioe mapema mojawapo ni hili la mapishi!
Mimi kila nikipika wali lazima uwe mbichi aidha uungue[emoji848] yaani nikiweka moto kidogo, hauivi! moto ukiwa neutral kidogo, unakuwa bokoboko! moto ukiwa mkali, unaungua!![emoji848][emoji848]
Siku moja nilipika tambi! aisee!! ile nimefunika ili zipate moto, nakuja kukutana na uji!! Wanaume mnaojipikia nawapeni HONGERA ya dhati! Mwenzenu vyombo nilishaweka kabatini, na nimeshajipatia umaarufu mkubwa migahawani!
Nawaza waza kutafuta house girl niwe nakaa nae maana natumia hela nyingi kulipia hivi vyakula (hata hapa niko mgahawani) [emoji16]
Katika vitu vitakavyofanya nioe mapema mojawapo ni hili la mapishi!
Mimi kila nikipika wali lazima uwe mbichi aidha uungue[emoji848] yaani nikiweka moto kidogo, hauivi! moto ukiwa neutral kidogo, unakuwa bokoboko! moto ukiwa mkali, unaungua!![emoji848][emoji848]
Siku moja nilipika tambi! aisee!! ile nimefunika ili zipate moto, nakuja kukutana na uji!! Wanaume mnaojipikia nawapeni HONGERA ya dhati! Mwenzenu vyombo nilishaweka kabatini, na nimeshajipatia umaarufu mkubwa migahawani!
Nawaza waza kutafuta house girl niwe nakaa nae maana natumia hela nyingi kulipia hivi vyakula (hata hapa niko mgahawani) [emoji16]