Kila Chuo cha Afya kinataka watu 25 tu

SEROTHERAPY

Senior Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
199
Reaction score
26
Hivii jamanii kila chuo cha government diploma wanataka capacity ya watu 25 kwa vyuo vyenye competition kama kibaha jee unauhakika utapata nafasi bila kufuatilia?

Nachowashaurii walioaply afya diploma embuu jaribunii kuaply hata kozi zisizo na competition na hata vyuo vya government visivyo na competition sio lazima kila mtu CM wengine manurses dental mbona zipo wazi?

Sasa msije mkajilaumuu mkakaa tena kitaa nakusema wamenitosa wakatii mshahara niule ule na kada zilezile, mtakuja kujutia kwanini mliaply na kukaa kitaa na akilii kudumaa kisa unasubiria clinical medicine.
 
we serotherapy embu soma uko,dental nani kakuambia aina competition kwanza vyuo vyenyewe viwili tu tanga na mbeya na kupata kazi acha kupotosha watu,wasalimie mtc hapo bila kumsahau Dr mabula.
 
we serotherapy embu soma uko,dental nani kakuambia aina competition kwanza vyuo vyenyewe viwili tu tanga na mbeya na kupata kazi acha kupotosha watu,wasalimie mtc hapo bila kumsahau Dr mabula.

Hahahahahahshaha powapowaa babaaa alafuu hichii chuoo hakipo mtandaonii sasa sjuii itakuajee lazima mtafutano
 
Hicho chuo cha dental kipo tanga maeneo gan?na kinaitwajee?
 
Hicho chuo cha dental kipo tanga maeneo gan?na kinaitwajee?

Ingiaa mtandaonii nacte kamaa ukishaaply kwenye profile yakoo nendaa mkoa wa tanga utakiona elimu haiangalii mahali kaka piga buku
 
Performance zako zitakubeba. Acheni kuendekeza tabia za kujipelekapeleka kwenye taasisi na watu ili mpewe nafasi na upendeleo. Hizo tabia ni chafu hasa kwa watu makini na wanao jiamini. Ukija kwangu ntahakikisha hupati.
 
Performance zako zitakubeba. Acheni kuendekeza tabia za kujipelekapeleka kwenye taasisi na watu ili mpewe nafasi na upendeleo. Hizo tabia ni chafu hasa kwa watu makini na wanao jiamini. Ukija kwangu ntahakikisha hupati.

Hahahahahahah ilaa kakaa iliswalaa la madogo kukosa lipoo unakuta mtuu ana AAB zake za PCB na anakosaa sasa wafanyejee na wanataka vyuo hivyo vya serikali, hizo marks nikwaa form 4 tafadhari
 
ushaur tafadhal,nmemaliza form 6 mwaka jana comb ya HGE n a kufaulu,ila nataka nitumie chet chang cha form 4 kuomba koz ya Diploma ya afya.Nishaurin plz
 
ushaur tafadhal,nmemaliza form 6 mwaka jana comb ya HGE n a kufaulu,ila nataka nitumie chet chang cha form 4 kuomba koz ya Diploma ya afya.Nishaurin plz

form four ulisoma masomo ya science? ufaulu wako ulikuwa vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…