Kila chuo na ugumu wake

JOSEPH BANKWA

Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
6
Reaction score
1
Naomba kuchukua nafasi kwa kusema kwamba kulingana na vyuo tunavyotoka kusema kweli kuna vyuo vina elimu ngumu,USHAURI ni kwamba kwa yule aneona hana msuli wa kutosha aombe kuelekezwa asije ishia kutemwa na chuo,make kuna vyuo havielewi maana y DISCONTINUE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…