MwakiIV
Member
- Aug 31, 2018
- 79
- 138
LAWAMA HAIJAWAHI KUPONYA MTU.
Mara nyingi tumekuwa tukilalamikia vitu ama watu lakini tumeweza kujiuliza kwa nini vitu au watu hao utokea kwenye maisha yetu?
Mtoto anazaliwa mara ya kwanza hewa ya oksijeni inapopita kwenye mapafu uanza kulia na baadae ataitegemea hiyo kwa maisha yake yote.
Vijana tumekuwa tukiamasishwa kujitolea na kushiriki katika fursa tofauti, ambapo ukitazama juu juu ni kama unapoteza muda lakini ukichukulia kama funzo kipo utakachopata ambacho kitakusaidia mbeleni.
Wakati mwingine hata tukivuta taswira ya namna tulivyolelewa utagundua ukali wa wazee ambapo wengine tulidhani ni maonevu lakini leo tunafurahia matunda yake.
Ugumu wa jambo ni njia rahisi sana ya kujifunza jambo lenyewe lakini kama utalibeba kwa mlango wa chanya.
Hivyo namalizia kwa kusema hakuna sehemu ulipoteza muda, hakuna mtu alikupotezea muda yote hayo ukiyataza kwenye mlengo chanya utakuta kuna funzo bora umepata.
Mara nyingi tumekuwa tukilalamikia vitu ama watu lakini tumeweza kujiuliza kwa nini vitu au watu hao utokea kwenye maisha yetu?
Mtoto anazaliwa mara ya kwanza hewa ya oksijeni inapopita kwenye mapafu uanza kulia na baadae ataitegemea hiyo kwa maisha yake yote.
Vijana tumekuwa tukiamasishwa kujitolea na kushiriki katika fursa tofauti, ambapo ukitazama juu juu ni kama unapoteza muda lakini ukichukulia kama funzo kipo utakachopata ambacho kitakusaidia mbeleni.
Wakati mwingine hata tukivuta taswira ya namna tulivyolelewa utagundua ukali wa wazee ambapo wengine tulidhani ni maonevu lakini leo tunafurahia matunda yake.
Ugumu wa jambo ni njia rahisi sana ya kujifunza jambo lenyewe lakini kama utalibeba kwa mlango wa chanya.
Hivyo namalizia kwa kusema hakuna sehemu ulipoteza muda, hakuna mtu alikupotezea muda yote hayo ukiyataza kwenye mlengo chanya utakuta kuna funzo bora umepata.