Kila Jimbo la "Muunga mkono juhudi" limebana. Asanteni sana magwiji wa CCM mlioamua kurudi

Kila Jimbo la "Muunga mkono juhudi" limebana. Asanteni sana magwiji wa CCM mlioamua kurudi

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Yaani dili limetiki 100 asilimia, kila tunachopanga na kutarajia kina tiki. Hatua ya kwanza kabisa tayari tumefanikiwa kwa asilimia zaidi ya 96. Mambo yanaenda bam bam.

Tunasubiri hatua ya pili mchujo wa kura za maoni na hatua ya tatu vikao vya maamuzi ambayo yote hayo yameshaonyesha kufanikiwa baada ya hii hatua mama tuliyomaliza.

Acheni Mungu aitwe Mungu.

Please wanaccm jitokezeni kwa wingi sana siku ya kesho ni mwisho. Gombeeni Kwani wingi na kama ikibidi kesho hata kazi usifanye hadi ukihakikishie kuwa una form

Peoples What a deal men! Yaani hata mgutuke, too late my friends! Tumeshafanikiwa lengo letu! Acha leo nilipe kodi kwa furaha! Nalipa kweli kweli!

cc mrangi , Mshana Jr
 
Wahuni tu utakubali vipi kupewa ahadi hewa bila mkataba wametumika kama toilet paper now hawana tija.
Sipati picha majina matatu yanafika kwa Magufuli jimbo la kawe pale Gwajima huku Mashinji hujakaa sawa Kippi Warioba je unadhani atachagua nani ukigeuka huku nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya tayari zimejaa kazi kwelikweli
 
Hawakuona mbali!
Mbombokafu

IMG-20200716-WA0062.jpg
 
Sijaona mnachofurahia.... Uchaguzi bado haujafanyika na hamjajua Rais anataka nani awe nani...wekeni akiba ya maneno na acheni ubwege. Unashangilia jambo la kijinga wakati maamuzi hayajafanyika. Na huoni kwa kufanya hivi ni kama unamshinikiza rais sasa amteue huyo mhusika ili kuondoa mashaka kwa wengine? Tulieni kunyweni mtori nyama zipo chini.
 
Vilio na machozi ya walio umizwa kipindi cha kupiga kura na kulimda kura na kushinikiza kutangazwa matokeo, watu waliumizwa sana.

Leo hii huyo mbunge huyo baada ya kurubuniwa na kufika bei anasahau aliyo yasababisha kwa wafuasi wake kisa fedha!
Yani alikuwa amebaki Ole Milya naona Sendeka karudi acha wakakunjane sasa. Hakuna unyama kama kuuza jimbo.
 
Back
Top Bottom