Kila Jimbo la "Muunga mkono juhudi" limebana. Asanteni sana magwiji wa CCM mlioamua kurudi

lile igizo la Chamwino wenyeji wakilaumu wassliti kupewa ubunge halikuwaingia? washatapeliwa hawa. Polepole hapokei tena simu zao
 
Kwa
Kwamba wewe una akili kuliko mtoa post??uwe na aibu
 
vipi tena? mbona na wewe unapunic wakati uchaguzi haujafanyika? Wanakuumiza moyo?
 
Punic ndo nini 😳😳😳😳😳 nchi hii inahitaji sana watu kupata elimu.kama kuandika tu hujui utaweza kuunda hoja kweli?

vipi tena? mbona na wewe unapunic wakati uchaguzi haujafanyika? Wanakuumiza moyo?
 
USICHOKIJUA ni kuwa kuna wengine walikula mpaka bilioni mbili hivyo hata wakikatwa POA TU maana wasingezipata hata kama wangekaa upinzani na kushinda tena.

Hukusikia Lema alisema walimfuata na TSH ngapi??
 
USICHOKIJUA ni kuwa kuna wengine walikula mpaka bilioni mbili hivyo hata wakikatwa POA TU maana wasingezipata hata kama wangekaa upinzani na kushinda tena.

Hukusikia Lema alisema walimfuata na TSH ngapi??
Hawakupata chochote mkuu, walipigwa changa la macho na ni full kilio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…