Kila kinachotokea kwa CHADEMA kinapaisha umaarufu wa chama hiki, tusonge mbele

Kila kinachotokea kwa CHADEMA kinapaisha umaarufu wa chama hiki, tusonge mbele

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Hiki chama kimebarikiwa sana na ni suala la muda tu kitaingia madarakani. Haitakuwa rahisi ila itatokea. Baba wa Taifa aliwahi kuitabiria CHADEMA makubwa, na hili jambo linaitesa CCM sana. CHADEMA tuendeleze mapambano ya ukombozi wa Mtanzania, haitakuwa rahisi ila tutashinda mwisho wa siku.
 
Mungu Ibariki CHADEMA.. Kukichwa kutapambazuka
20240813_125947.jpg
20240813_125236.jpg
 
Poleni sana kwa misukosuko ya Polisi mnayokutana nayo ila kwenye Chadema kuingia madarakani umetupanga labda chama kingine cha upinzani sio hizi tulionao sasa
 
Every publicity is good publicity, Yes! Ila hii ya kuingia madarakani, subiri kwanza. 😀
 
Hiki chama kimebarikiwa sana na ni suala la muda tu kitaingia madarakani. Haitakuwa rahisi ila itatokea. Baba wa Taifa aliwahi kuitabiria CHADEMA makubwa, na hili jambo linaitesa CCM sana. CHADEMA tuendeleze mapambano ya ukombozi wa Mtanzania, haitakuwa rahisi ila tutashinda mwisho wa siku.
kinapandisha sauti ya mayowe na kubwekabweka right?🐒

huruma za wanachama wake hamna tena dah 🐒
 
Back
Top Bottom