Kila kitu bei juu; Hadi Soda na Sabuni

Kila kitu bei juu; Hadi Soda na Sabuni

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Maisha yanapanda kwa kasi Sana.


Kila kitu bei juu! Nimeshangaa kipande cha Sabuni sasa ni 600 badala ya 500. Soda sasa ni 600 badala ya 500.

Maji nayo yamepanda bei.

Huduama za kijamii nazo zinasuasua
Watawala mtuhurumie.
 
Kuhusu sabun na soda wote twajua kwann zimepanda
Tunawaomba CHAPUTA wapinguze matumizi ya sabuni kipindi hiki na kina dada rudishen chupa
 
Maisha yanapanda kwa kasi Sana.


Kila kitu bei juu! Nimeshangaa kipande cha Sabuni sasa ni 600 badala ya 500. Soda sasa ni 600 badala ya 500.

Maji nayo yamepanda bei.

Huduama za kijamii nazo zinasuasua
Watawala mtuhurumie.
Sio muda wa kulalamika huu,ni muda wa kupiga tu
 
Maisha yanapanda kwa kasi Sana.


Kila kitu bei juu! Nimeshangaa kipande cha Sabuni sasa ni 600 badala ya 500. Soda sasa ni 600 badala ya 500.

Maji nayo yamepanda bei.

Huduama za kijamii nazo zinasuasua
Watawala mtuhurumie.

Sasahivi soda mia saba!
 
Sabuni si uchukue ata doffi

Soda IPI bei hiyo ata ivyo tutatengeneza juis
 
Back
Top Bottom